WADADA MNAO DANGA MUNGU ANAWAONA

WADADA MNAO DANGA MUNGU ANAWAONA

Habari wana familia wa jf
Leo naomba kuanza na hawa warembo wadangaji jamani mnatia huruma sana, siku moja nipo eneo langu la kazi mara paap akakatiza mtoto mqali nikajitosa kwake moja kwa moja, basi visalaam vya kichokozi, Mara namba ya simu tukabadilishana. Cha kushangaza hapo hapo kabla sjaanza kumpa hitaji langu akafungua kopo la pipi akajihudumia pipi "Big Bom" buree... Daah nikaona hapa safari ni ndefuu ila nikajipa moyo tu kiume.

Nikamuuliza "Vip mrembo ukipata time nistue basi tubadilishane madini, akasema poah,, Acha tuanze story baada ya kunicheck, kabla sjatema madini mtoto akadai nimuwekee vocha aongee na mum wakati yupo uswahilini na wazaz wake anakaa nao na bila shaka mama yke hana mawasliano(simu). Basi nikaona no heri nianze kuchomoa mapema kabla hajanitoa upepo, nikamwambia vocha nimeishiwa mrembo, akaongeza kuwa kwani wengine hawauzi jamani? Ninunulie basi unitumie my, nikamwambia muda umeenda wameshafunga.

Basi akanivaa mapovu acha niyaoge, Ooh "Sema umeninyima makusudi kaka, umeona ungenipa vocha unafilisika?' Hayo ni maisha tu kaka utakufa na hela zako utaziacha.

Daaaaaaaahh.., Uvumilivu ukanishinda nami nikamtolea makavu, Yani dada mimi kukuita mrembo basi umeviiiiimba mwenyewe, umekuja kuomba namba tu Big Bom imetembea , sjatulia tena saiv vocha eti uongee na mum, hiv kweli mum yko ana simu? Kuwa mkweli. Halafu unanitisha eti nitakufa hela naziacha, kwani umesikia mungu akisema kuwa anabagua wa kumpeleka kuwa ambae hana mia hampeleki ?, au ni warembo wangapi zaidi yako na wabaya zaidi yako mungu kawapeleka? Kuwa mkweli dada wala usimuingize mungu ktk haya hizo ni gear zako tu ila ukweli wewe ni mdangaji ila kwangu umegonga mwamba ila ambulia Big Bom tu inatosha naomba mpaka hapo kadange pengine"

Dada wa watu ikawa mwisho wa ukimya na kila mtu akaangalia ustaarabu wake mpaka sasa akiniangalia ananiogopa balaa, japo Big Bom ilitembea out of pay.

Mwisho nasema hivi kwenu warembo wadangajiiiiii, shikeni majembe mkalime mjifunze uungwana mkaolewe vinginevyo taabu mtaipata sana na kwa taarifa yenu siku hizi hatuogopi mapovu yennnu.

Kama imekukuta kama mimi hapo nikuone ulingoni hapa.
Nilijua ni kwangu tu,kumbe wako wengi.
 
Utaoa dadako au ukitaka kuoa hutongozi

Ni maajabu kabisa....huna kipato chochote unatokana wapi na wanawake?

Huna kipato utaolea wapi hivi kweli?

Unatongoza mwanamke unategemea kwamba mpaka kafika hapo kaja na hewa?

Ambae hajatumia hela labda ukamuokote jalalani

I really do not get the point at all...

I do not believe kabisa on this earth mwanaume unatomba bure kabisa hata ile gentleman's decency tu ya nauli ya kurudi kwake usilipie..Utakua jitu moja la ajabu sana linaloweza ua nchi nzima!

Jeees!
 
Ni maajabu kabisa....huna kipato chochote unatokana wapi na wanawake?

Huna kipato utaolea wapi hivi kweli?

Unatongoza mwanamke unategemea kwamba mpaka kafika hapo kaja na hewa?

Ambae hajatumia hela labda ukamuokote jalalani

I really do not get the point at all...

I do not believe kabisa on this earth mwanaume unatomba bure kabisa hata ile gentleman's decency tu ya nauli ya kurudi kwake usilipie..Utakua jitu moja la ajabu sana linaloweza ua nchi nzima!

Jeees!
Hujaelewa concept nzima ya mada mkuu hukuna mwanamke wa bure dunia hii hilo najua hata mm binafsi nikiwa natoa hela kwa ajili ya mwanamke najiona kukamilika sana lakin sio kwa povu hilo la mwanamke kwenye mada yaani kumwambia kwasasa haiwezekani ndo aanze kulalamika kuwa umekataa hiv itamuelewa vip? Ni kweli kwenye maisha kila siku utakuwa na hela au utaweza kutimiza vyote anavyohitaji? Kwa wakati anaoutaka yy? Yaani hata saa nane usiku akisema nataka kitu fulani humwambii asubiri maana ukisema hivyo ni povu tu.raha ya mwanamke awe anajua kuna wakati hauna, na kuna vitu huwezi kufanya maana mwanaume sio Mungu ni binadamu kama yy tu
 
Hujaelewa concept nzima ya mada mkuu hukuna mwanamke wa bure dunia hii hilo najua hata mm binafsi nikiwa natoa hela kwa ajili ya mwanamke najiona kukamilika sana lakin sio kwa povu hilo la mwanamke kwenye mada yaani kumwambia kwasasa haiwezekani ndo aanze kulalamika kuwa umekataa hiv itamuelewa vip? Ni kweli kwenye maisha kila siku utakuwa na hela au utaweza kutimiza vyote anavyohitaji? Kwa wakati anaoutaka yy? Yaani hata saa nane usiku akisema nataka kitu fulani humwambii asubiri maana ukisema hivyo ni povu tu.raha ya mwanamke awe anajua kuna wakati hauna, na kuna vitu huwezi kufanya maana mwanaume sio Mungu ni binadamu kama yy tu

KAKA

Ni simple tu,hatuwezi kua tunatoleana mapovu huko duniani halafu tunakuja ku-upload kila kitu hapa hapa...Tutaishije sasa?

Cha ajabu ni kutolewa povu au cha ajabu ni kwa mwanamke kua upfront with you about kitu cha kugharamia?

Tangu lini kua upfront and honest about something obvious ni ajabu?

Halafu hakuna povu hapo..ni dada kua honest and upfront bila kupindishapindisha!

Wa ajabu sio huyo dada,wa ajabu ni huyo kaka sasa!

Kwanini wa ajabu awe huyo dada?..Unatumia mizani gani mwenzentu?

Hii dunia bana....
 
KAKA

Ni simple tu,hatuwezi kua tunatoleana mapovu huko duniani halafu tunakuja ku-upload kila kitu hapa hapa...Tutaishije sasa?

Cha ajabu ni kutolewa povu au cha ajabu ni kwa mwanamke kua upfront with you about kitu cha kugharamia?

Tangu lini kua upfront and honest about something obvious ni ajabu?

Halafu hakuna povu hapo..ni dada kua honest and upfront bila kupindishapindisha!

Wa ajabu sio huyo dada,wa ajabu ni huyo kaka sasa!

Kwanini wa ajabu awe huyo dada?..Unatumia mizani gani mwenzentu?

Hii dunia bana....
Powa taji chukua ww mkuu
 
Mkuu acha uzembe bwana...

Wewe mwanamke kukuomba pesa au chochote kwa kukupa ngono ndio kitu cha ajabu?

Hivi wewe unatombaje aisee?

Utakua na matatizo sana.....na kama uko hivi utaleta nyuzi nyingi za kiajabu hiv hivi....

It is funny...

JF wataufuta sasa hivi maana kuna mpumbavu mmoja ame-upload some private conversations with their identities open as if kutongozana na kupeana hela za ngono ni kitu cha ajabu...

You people hav to leave this world and go to Mars aisee!

How can you be like this?
[emoji40] [emoji40]
 
Umenena kweli mkuu...daah maisha yanaenda kasi sana..big bon tuu inaanzishiwa thread..vocha na sreen shot zinaletwa..kweli umaskini unashika hatamu..mtoa mada kama hataki kuombwa hata pipi...yeye vipi anataka kuomba wenzie
Nimekaa kimya nikuachie ushindi japo kauli uliyotumia siyo iliyo tumika. "Hakuomba, baada ya kuombwa connections tu akaanza kujihudumia bila cash kama mama wa ndani". Over
 
Back
Top Bottom