Wadada mnao sukana karibu na choo munakera badilikeni

Hahahaaa haya mambo kumbe wahanga tupo wengi ila nashukuru nyumba ninayoishi ina kijibaraza na Choo kipo kwa nyuma ya nyumba.
 
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
Uswahilini haya ndo matatizo yenyewe,
Watu wenye Soni na haya Kama sisi, ktk mazingira haya tunajikuta katika wakati mgumu hivi.
Nijitolee mfano,,
Kipindi hicho nina girlfriend,
Nikiwa ndani pekeangu mlangoni kwangu panakua shwari kabisa,
Tatizo ni pale akija yule dada,
Yaani nikifunga mlango tu,
Ndipo nao hujisogeza mlangoni kwangu, Sasa hapo wataanza kufumua na kisukana nywele,
Watabeba majiko yao ya mkaa na kuanza kupika hapo kiasi kwamba hata baada ya kukonga nyoyo nikitoka kuangalia so, haiwezekani maana wapishi na wasusi wameegemea mlango wangu.
Dah uswahilini Kuna uswahili..
 
cku nyngine chukua maji yako nusu ndoo na ksha unayachota kwa kutumia kopo na then kuyarudisha tena wakat yakpga kelele naww huko ndo unajamba na kuharisha harakharak mpaka beat ziishe
[emoji13] [emoji13] [emoji14]
 
Umesema kwel mkuu,hiyo ni kero na wakikaa kutoka mpaka Jua lizame sijui wanapapendea nini? mazingira ya Choon,mpaka kukaapo,watambue wanatupa kero na kukosa starehe tuwapo msalani,maana Mtu badala ya kuachia mzigo kwa uhuru,inabid uende kwa breki tena kwa umakini wa hali ya juu,kama Fuso imebeba mzigo sasa inashuka mlima Sekenke,
 
mkuu tunaish nyumba moja nn??

mm hilo swala linakera yan ikifika weeken wadada wanajazana karbu na choo yan mpaka wanazingua
 
Mimi huwa naimba kwaya kuanzia sauti ya kwanza mpaka ya NNE ( Base) kutegemeana na uzito wa mzigo sometimes inabidi niwe na mix sauti ya NNE na ya kwanza.
 
cku nyngine chukua maji yako nusu ndoo na ksha unayachota kwa kutumia kopo na then kuyarudisha tena wakat yakpga kelele naww huko ndo unajamba na kuharisha harakharak mpaka beat ziishe
nimecheka hatari
 
Stori yko inachnganya. Kuna mahali inaonekana tukio lilishapita na pengine inaonekana bado uko toilet
 
Dah......unapiga vibaruti vya nguvu.... Ukitoka unawauliza kama hawajawahi kumuona mtu aki*ya maishani mwao[emoji87]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…