Umeona sasa!!Hamia Buza mkuu, huku tunafanya mazoezi na madira, hakika sehemu zako zitakua salama tu.
[emoji16][emoji16][emoji16]Hamia Buza mkuu, huku tunafanya mazoezi na madira, hakika sehemu zako zitakua salama tu.
ππππKama hao tu wanakusumbua hivyo ukipita ambiance si utagoma kabisa kuondoa gari
Wanavaa hivyo kupunguza jotolidi la Nyapu wakati wa mazoezi nyapu hupandisha joto kama la injini ya gari.
yeaahh...nakuelewa sana mkuu..ikifikaga weekend daahh huwa ni balaa kuanzia mbezi yote mpaka mikocheni. ... huwa wanaMadanga yale ya ambianz hayana mzuka man...we njoo huku Mbezi beach chini jitege tu pale Hangover utaona watoto wakali kinyama wanafanya evening walk kama familia ya Obama....wameumuka nyumambele kinyama full mzuka yaan
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja wajeWale wataalamu wa kuzoom angalieni vizuri huyo dada mwenye blue mtagundua nachosema kwenye tight hapo kuna kitu cha ndani white ambacho full rights ziko reserved, hata hivyo nitaleta picha clear View attachment 1449369
Sent using Jamii Forums mobile app