Wadada mnaposafiri acheni kupaka mafuta yenye harufu Kali mtatuua kwa hewa chafu mnazotoa

Wadada mnaposafiri acheni kupaka mafuta yenye harufu Kali mtatuua kwa hewa chafu mnazotoa

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,623
Reaction score
8,442
Daaaah!

Nipo kwenye gari hapa natoka mkoa nakuja Dar es salaam hili bus ni full kiyoyozi na madirisha yamefungwa

Ghafla namvuta hewa nzito sana ya kipodozi,baada ya kufuatilia ile harufu inatoka wapi nikagundua kwa mdada mmoja,wee mdada kama upo humu JF unasafiri na Abood kutoka Moro next time acha kupaka hayo mafuta yako utaua abiria wenzako kwa hewa nzito ya hayo mafuta yako
1542895510356.jpeg
 
Nani amekufa kwa harufu ya uturi?
Nimesikia yule mdudu anayeitwa Bingwa anayesukuma mavi ya wanyama kwa kuyabiringisha ukimwagia perfume anakufa. Amezoea harufu ya mavi.
 
bora wewe uligundua harufu inakotokea, kuna ile unakuta ndio kwanza asubuhi mnaingia kwenye gari harufu za vipodozi kwa kila namna na kama ujuavyo luxury buses hawafungui madirisha, hiyo scene huwa inakera sana
 
Aiseee....!
Kuna mmoja alikuwa ni work mate sasa alikuwa anajipulizia marashi ukimpitia karibu lazima upige chafya.

Watu wakashindwa kuvumilia. Alipoulizwa alisema mchumba wake ndio anapenda.

Mungu awasaidie saana maaana kuna wadada wanapata tabu saana. Sijui ni kwa sababu ya imani za kiza??

Mshana Jr msaada
 
unamuonea aibu..?
ngoja nkusaidie kumwambia ukweli "we dada unanuka kibeberu"
usiku mwema.....!
 
Daaaah!

Nipo kwenye gari hapa natoka mkoa nakuja Darisalama

Hili bus ni full kiyoyozi na madirisha yamefungwa

Ghafla namvuta hewa nzito sana ya kipodozi,baada ya kufuatilia ile harufu inatoka wapi nikagundua kwa mdada mmoja,wee mdada kama upo humu JF unasafiri na Abood kutoka Moro next time acha kupaka hayo mafuta yako utaua abiria wenzako kwa hewa nzito ya hayo mafuta yakoView attachment 942901
hawajiamini watu wa hivyo,so wanaziba harufu zao mbovu labda
 
Daaaah!

Nipo kwenye gari hapa natoka mkoa nakuja Dar es salaam hili bus ni full kiyoyozi na madirisha yamefungwa

Ghafla namvuta hewa nzito sana ya kipodozi,baada ya kufuatilia ile harufu inatoka wapi nikagundua kwa mdada mmoja,wee mdada kama upo humu JF unasafiri na Abood kutoka Moro next time acha kupaka hayo mafuta yako utaua abiria wenzako kwa hewa nzito ya hayo mafuta yakoView attachment 942901
😂😂😂😂😂
 
duuh, yaani dada uko nae moro, tena basi moja next to you halafu badala ya kumwambia muhusika mwenyewe unakuja jamii forums?? mkuu ungesubiri hata muda wa kuchimba dawa umwambie kama unaogopa kumwambia hapo alipo!!!
 
Kuna demu alikuwa kapaka kurusumu natoka boma naenda mnazi niliona kama nimesafiri mwaka halafu sikuwa eneo lenye dirisha nilikoma
 
Daaaah!

Nipo kwenye gari hapa natoka mkoa nakuja Dar es salaam hili bus ni full kiyoyozi na madirisha yamefungwa

Ghafla namvuta hewa nzito sana ya kipodozi,baada ya kufuatilia ile harufu inatoka wapi nikagundua kwa mdada mmoja,wee mdada kama upo humu JF unasafiri na Abood kutoka Moro next time acha kupaka hayo mafuta yako utaua abiria wenzako kwa hewa nzito ya hayo mafuta yakoView attachment 942901
Inawezekana nywere zake zimevunda maana daah wana mambo mengi
 
Kuna demu alikuwa kapaka kurusumu natoka boma naenda mnazi niliona kama nimesafiri mwaka halafu sikuwa eneo lenye dirisha nilikoma
Ewaaaa
Nilikuwa natoka Dar naenda Arusha na Marangu Coach.
Full Ac, hakuna kufungua kioo.
Nimekaa alone mpaka mitaa ya Mbezi kaingia mdada kashika boksi la hii Kurusumu lina rangi ya zambarau/bluu...kaipaka huko chini.
Kumbe nakaa nae.
Yaani nilimuita konda anibadilishie siti.

Kwanza yule dada ana jasho kali, afu kajipulizia pafyumu hii ya udi huku juu ana bonge la wigi
Afu mbaya zaidi kavaa shati la silk.
Nikapata siti ingine...maisha yakaendelea.

Wadada wengine sijui wanaona ufahari kupaka hiyo mipafyumu ya kunuka na mijasho yao.
 
Ewaaaa
Nilikuwa natoka Dar naenda Arusha na Marangu Coach.
Full Ac, hakuna kufungua kioo.
Nimekaa alone mpaka mitaa ya Mbezi kaingia mdada kashika boksi la hii Kurusumu lina rangi ya zambarau/bluu...kaipaka huko chini.
Kumbe nakaa nae.
Yaani nilimuita konda anibadilishie siti.

Kwanza yule dada ana jasho kali, afu kajipulizia pafyumu hii ya udi huku juu ana bonge la wigi
Afu mbaya zaidi kavaa shati la silk.
Nikapata siti ingine...maisha yakaendelea.

Wadada wengine sijui wanaona ufahari kupaka hiyo mipafyumu ya kunuka na mijasho yao.
Hahahah sindio ameipenda ananukia ndani ya radius mitaa 200!
 
Kuna demu alikuwa kapaka kurusumu natoka boma naenda mnazi niliona kama nimesafiri mwaka halafu sikuwa eneo lenye dirisha nilikoma
Achana na huyo mimi wale wanaojipulizia UDI aisee ile harufu ya UDI concentration yake Kali sana halafu tupo kwenye basi nilihama siti nikakaa mbali kabisa
 
Back
Top Bottom