Wadada, mnataka dakika ngapi?

Wadada, mnataka dakika ngapi?

Hawakupendi..

Mwanamke anayekupenda na mnajua mnapendana.. raha sana ya Dunia nyingine.. hata masaa mtapata raha hadi mchoke pamoja na kupumzika kabla ya me fine kuendelea na kuendelea eeeeh Kula hakupiti na kulala inavyobidi..

Mapenzi matamu na ya kweli yanatoka kwenye moyo ya wawili kwa pamoja..

Usisahau wanawake wenye malengo na mwanaume.. acting yao ni kiwango hamuwezi kuwanasa.. 💰💰💰
Kweli kuna baridi, hadi coco kamwaga madini ya kufikishana juu🤣
 
Hakuna namna, wakati mwingine mpaka wanakususia
Akikususia we ichukulie hiyo kukususia kwake kama aina ya style mpya unaigeuza inakuwa fursa 😀 😀, na ukitaka kuipatia vizuri kama kuna mwanga basi mfumbie macho kisha vuta taswira ya mwanamama anayekukosha~ga piga taQo zako kadhaa unakojoa unamshukuru unajiswafi unavuta shuka usingizi
 
Kama wa ibada basi huyo upendo hakuna, yaani hana hisia na wewe, anaforce tu labda kwa kuwa kuna favor fulani anapata kutoka kwako na anahofia akikunyima ataikosa, narudia tena kusema mwanamke anayekupenda atakupa shoo hadi wewe ndo uwe unakimbia uwanjani
 
Back
Top Bottom