Wadada Mnawaza sex tu...

Wadada Mnawaza sex tu...

[emoji3][emoji3]
Umesahau lake oil

Shemeji yako hata mimi simjui. .ebu nichagulie atakae nifaa
Ukicheka tu, mi kwangu tafrani yani.

Moyo unaenda mbio, presha, sukari, typhod, malaria, BP - Oilcom, Engine, Puma, sijui ile nyingine wanaitaga nini.. Zote zinapanda!!!

Naomba nimjue shem wangu tu, humu JF, nimpe sifa zake, halafu nishike adabu yangu kabisa. Nsije nikaanzishiwa uzi bure wa kuchambwa
 
[emoji3][emoji3]
Umesahau lake oil

Shemeji yako hata mimi simjui. .ebu nichagulie atakae nifaa
Enhe hio Lake Oil ndo nliisahau.

Halafu ujue, wanawake kumwambia mwanaume akutafutie mchumba anaefaa, nisawa na kumwambia "go ahead, go ahead, your almost there. Just half way through your suicide mission"[emoji18]
 
Daah niwe tu muwazi yani hata kama nilipanga nisimgegede siku hiyo, ile nikimuona tu mawazo tiari yanabadilika.
 
Back
Top Bottom