Ukicheka tu, mi kwangu tafrani yani.
Moyo unaenda mbio, presha, sukari, typhod, malaria, BP - Oilcom, Engine, Puma, sijui ile nyingine wanaitaga nini.. Zote zinapanda!!!
Naomba nimjue shem wangu tu, humu JF, nimpe sifa zake, halafu nishike adabu yangu kabisa. Nsije nikaanzishiwa uzi bure wa kuchambwa
Endelea kungojaNangoja ugeuke (avatar)
Enhe hio Lake Oil ndo nliisahau.[emoji3][emoji3]
Umesahau lake oil
Shemeji yako hata mimi simjui. .ebu nichagulie atakae nifaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Enhe hio Lake Oil ndo nliisahau.
Halafu ujue, wanawake kumwambia mwanaume akutafutie mchumba anaefaa, nisawa na kumwambia "go ahead, go ahead, your almost there. Just half way through your suicide mission"[emoji18]
Yah , men likes sex kuliko kuishi
Sijui watakua ni wanaume wa wapi hao.Seriously!!!! Men likes reading Bible more than sex????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ni from mpakani? Wanapenda kuishi kuliko sex .,???Nah... It depends on which side of the sea ur[emoji23]
Wa planet ya JupiterSijui watakua ni wanaume wa wapi hao.
...nakumisWa planet ya Jupiter
Sio Mars? [emoji41]Wa planet ya Jupiter
Na mimi kama si kaka yako nakukaribisha ma-ghetto-niKama mimi dadako fresh tuu tutasoma zaburi kwani shin'ngapi?!.
Hivi ni mars eeh ? Ila mars kubwa Jupiter panawafaa maana wanaishi wachache kuleSio Mars? [emoji41]
Nakumiss piaaa...nakumis
[emoji16][emoji16] Men are from Mars, Women are from Venus.. Planet zingine hazituhusuHivi ni mars eeh ? Ila mars kubwa Jupiter panawafaa maana wanaishi wachache kule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya buanaaaa[emoji16][emoji16] Men are from Mars, Women are from Venus.. Planet zingine hazituhusu
Karibu kwangu Mars, uje unitembelee sawa [emoji6][emoji57][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya buanaaaa
MmmmhhhhNakumiss piaaa
Tutasoma bibilia??Karibu kwangu Mars, uje unitembelee sawa [emoji6][emoji57]
Na kuimba tenzi za roho pia.. [emoji4]Tutasoma bibilia??