Wadada: Mnawezaje kupendeza kazini kuanzia asubuhi mpaka jioni?

Wadada: Mnawezaje kupendeza kazini kuanzia asubuhi mpaka jioni?

Mr Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
1,670
Reaction score
764
Wana body

Nisiwachoshe kivile, Habari zenu ? Mazee kuna hili swala mimi kama silielewi flan tukiwa tunaingia makazin asubuhi wadada wote wanapendeza mnoooo, na tukiwa tunatoka pia wanashine mbaya mno sasa inakuwaje ? wakati sisi mens utakuta uchov na sura mpaka nywele zinaondosha ule umaridadi wenzentu siku nzima wanawezaje kubaki wakiwa super ?

Yaani hata nyuso zao hazioneshi kuchoka kwa kaz sa kuchosha akili siku nzima

TUPENI SIRi....
 
Si unataka kuwa mrembo muda wote?

Aaaa yakhe nimeuliza tu sio kwamba eti nataka kuwa ivo muda wote watantaman wanaume skuizi yaani full kiroo mbaya mwanaume mwenzako anakupiga mistari hata ukiwa ruff sasa ukishine si balaa
 
Siku ukiwanyang'anya wadada wote mikoba yao halafu ukawazuia kwenda toilet mida ya kazi aiseee watatoka makazini wamepauka balaa.

Siku hizi vyoo sio sehemu ya kwenda kwa ajili ya haja, ni kwa ajili ya kujipodoa na kujiweka hot hot....

Ukijiuliza mambo ya wanawake utalala kichwa kinauma aisee.
 
Siku ukiwanyang'anya wadada wote mikoba yao halafu ukawazuia kwenda toilet mida ya kazi aiseee watatoka makazini wamepauka balaa.

Siku hizi vyoo sio sehemu ya kwenda kwa ajili ya haja, ni kwa ajili ya kujipodoa na kujiweka hot hot....

Ukijiuliza mambo ya wanawake utalala kichwa kinauma aisee.

huwa nawashangaa sana yaani ng'ari ng'ari moda wote
 
Back
Top Bottom