Wadada: Mnawezaje kupendeza kazini kuanzia asubuhi mpaka jioni?

Wadada: Mnawezaje kupendeza kazini kuanzia asubuhi mpaka jioni?

Kuna mambo yanayomtambulisha mwanamke!kwamba mwanaume ukiyafanya hayo tutakuwa na mashaka na uanaume wako sasa sasa wewe huenda una punje punje za kisela
Kujiremba inategemeana na nature ya kazi yako hivi wewe mtembeza mihogo na make up wapi na wapi Mkuu
 
Nawe uwe na mkoba wenye zana za urembo, kila mara uwe unaji-update.
Wana body

Nisiwachoshe kivile, Habari zenu ? Mazee kuna hili swala mimi kama silielewi flan tukiwa tunaingia makazin asubuhi wadada wote wanapendeza mnoooo, na tukiwa tunatoka pia wanashine mbaya mno sasa inakuwaje ? wakati sisi mens utakuta uchov na sura mpaka nywele zinaondosha ule umaridadi wenzentu siku nzima wanawezaje kubaki wakiwa super ?

Yaani hata nyuso zao hazioneshi kuchoka kwa kaz sa kuchosha akili siku nzima

TUPENI SIRi....
Inategemea na kazi mdada anayofanya. Kuna Blue collar na white collar jobs. Sasa wadada wengi wanafanya hizi kazi za white collar....
We mwenzangu ambaye unashindwa kupendeza full, utakuwa unafanya kazi ya black collar... 😀😀😀
 
Inategemea na kazi mdada anayofanya. Kuna Blue collar na white collar jobs. Sasa wadada wengi wanafanya hizi kazi za white collar....
We mwenzangu ambaye unashindwa kupendeza full, utakuwa unafanya kazi ya black collar... 😀😀😀

Childish
 
Kuna swala zima la kujiupdate during the day,lipstick ama lipshine,mikononi handcreams,usoni poda na nin, na ukipata nafasi unapuliza na spray/perfume kabisaa...nk
 
Back
Top Bottom