Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Salaam wapendwa. Moja kwa moja kwenye mada.
Wadada mtuelewe wanaume, sio kama tunapenda kuchepuka au kuwa na wanawake wengi bali wengi wenu siku hizi mnatufanya tuchepuke au kuwa na wanawake wengi kwa sababu zifuatazo:-
1. Mahaba (Romance)
Hamjui kumpeti peti mwanaume kama iliyokuwa kwa mabibi zetu zamani. Mmekosa mahaba kiasi kwamba mwanamke unaongea na mwanaume kama unaongea na adui au mdai wako, wakati wa kulala ndio usiseme mabibi zetu walikuwa wanawaimbia mababu zetu taarab laini, mashairi au hata nyimbo nyingine za taratibu, nyie mnalala huku mnawhatsapuka tu.
2. Mnasahau kuwa mwanaume ndio kiongozi/kichwa cha familia, kiasi kwamba nyie ndio mnataka muwe waamuzi au michangi yenu ndio ichukuliwe kama maamuzi sahihi, wengine bila kupima uzito wa jambo analochangia unakuta tayari yeye ndio kushakuwa muamuzi hadi kupelekea wanaume kuonekana aidha wamerogwa au hawako sawa kwa ndugu zao, huwa tunasikia sana hizi kauli "huyu sio bure itakuwa amerogwa na mkewe", maana kuna wengine hadi kufikia kuwafukuza ndugu na jamaa kwa ushauri wa wake zao.
3. Ubunifu sifuri (Zero creativity)
Hata kama huna hisia na mumeo bali walau buni hisia za kujifanya unafeel kile mnachofanya kwenye sita kwa sita, maana huku tulikofikia hali ni mbaya, mwanamke unado na mumeo mara umeshika simu mara unamuuliza ushamaliza mara ooh! mi nimechoka nataka nilale mara bado tu. Mnajididimiza wenyewe we unadhani mwanaume kama huyo akitoka nje akipata kidada cha mtaa wa mbali au hata jirani ambacho kwenye sita kwa sita kinajituma, mara kifo cha mende, mara paka mgonjwa, mara nyigu mzee, mara popo kanyea mbingu, mara dogstyle mara missionary kwa akili zako unafikiri mwanaume kama huyo atakaacha hako kabinti?
4. Hamna shukurani
Mwanaume amerejea toka safari amekuletea vijizawadi walau viwili vitatu, kweli unashindwa kumshukuru huyo mwanaume, na wengine hufikia hadi kuonesha dharau "Vijizawadi vyenyewe ndio hivi" bila kujali kuwa unamvunja moyo huyo alokuletea hizo zawadi. Muelewe kuwa mwanaume huyo akipata kidada mtaani ambacho kinapokea kila kinachopewa basi huyo mwanaume anaweza kuganda kwa hicho kidada, anaweza akakuletea wewe zawadi na ukionesha dharau anapelekewa huyo kadada.
Wadada mtuelewe, sina nia mbaya nanyi ila nataka walau mpate elimu ambayo itawasaidia, wanaume tunahitaji mahaba, tunahitaji kupewa ushauri mzuri wenye kujenga na sio kubumoa, tunahitaji kufanyiwa ubunifu, tunahitaji kuonekana kama viongozi wa familia, tunahitaji kupewa shukrani pale inapobidi.
Najua kuna mengi nanyi mnayo, nakaribisha majadiliano sio povu!
[emoji120][emoji120][emoji120]
Wadada mtuelewe wanaume, sio kama tunapenda kuchepuka au kuwa na wanawake wengi bali wengi wenu siku hizi mnatufanya tuchepuke au kuwa na wanawake wengi kwa sababu zifuatazo:-
1. Mahaba (Romance)
Hamjui kumpeti peti mwanaume kama iliyokuwa kwa mabibi zetu zamani. Mmekosa mahaba kiasi kwamba mwanamke unaongea na mwanaume kama unaongea na adui au mdai wako, wakati wa kulala ndio usiseme mabibi zetu walikuwa wanawaimbia mababu zetu taarab laini, mashairi au hata nyimbo nyingine za taratibu, nyie mnalala huku mnawhatsapuka tu.
2. Mnasahau kuwa mwanaume ndio kiongozi/kichwa cha familia, kiasi kwamba nyie ndio mnataka muwe waamuzi au michangi yenu ndio ichukuliwe kama maamuzi sahihi, wengine bila kupima uzito wa jambo analochangia unakuta tayari yeye ndio kushakuwa muamuzi hadi kupelekea wanaume kuonekana aidha wamerogwa au hawako sawa kwa ndugu zao, huwa tunasikia sana hizi kauli "huyu sio bure itakuwa amerogwa na mkewe", maana kuna wengine hadi kufikia kuwafukuza ndugu na jamaa kwa ushauri wa wake zao.
3. Ubunifu sifuri (Zero creativity)
Hata kama huna hisia na mumeo bali walau buni hisia za kujifanya unafeel kile mnachofanya kwenye sita kwa sita, maana huku tulikofikia hali ni mbaya, mwanamke unado na mumeo mara umeshika simu mara unamuuliza ushamaliza mara ooh! mi nimechoka nataka nilale mara bado tu. Mnajididimiza wenyewe we unadhani mwanaume kama huyo akitoka nje akipata kidada cha mtaa wa mbali au hata jirani ambacho kwenye sita kwa sita kinajituma, mara kifo cha mende, mara paka mgonjwa, mara nyigu mzee, mara popo kanyea mbingu, mara dogstyle mara missionary kwa akili zako unafikiri mwanaume kama huyo atakaacha hako kabinti?
4. Hamna shukurani
Mwanaume amerejea toka safari amekuletea vijizawadi walau viwili vitatu, kweli unashindwa kumshukuru huyo mwanaume, na wengine hufikia hadi kuonesha dharau "Vijizawadi vyenyewe ndio hivi" bila kujali kuwa unamvunja moyo huyo alokuletea hizo zawadi. Muelewe kuwa mwanaume huyo akipata kidada mtaani ambacho kinapokea kila kinachopewa basi huyo mwanaume anaweza kuganda kwa hicho kidada, anaweza akakuletea wewe zawadi na ukionesha dharau anapelekewa huyo kadada.
Wadada mtuelewe, sina nia mbaya nanyi ila nataka walau mpate elimu ambayo itawasaidia, wanaume tunahitaji mahaba, tunahitaji kupewa ushauri mzuri wenye kujenga na sio kubumoa, tunahitaji kufanyiwa ubunifu, tunahitaji kuonekana kama viongozi wa familia, tunahitaji kupewa shukrani pale inapobidi.
Najua kuna mengi nanyi mnayo, nakaribisha majadiliano sio povu!
[emoji120][emoji120][emoji120]