Wadada naombeni jibu!!!!

Shangazi we mkali!Inamaana sina anko mbongo!!Ila hao inaonekana walikuwa full romantic!Mpaka anaemiliki muda huu!!!!
Anaemiliki nini???GARI?!NYUMBA?!SHAMBA!? Mi siwezi kumilikiwa....
 
hahahaaha lol
si jibu nsije nkatolewa nundu bure lol
 
Gari lipi....?!Mi naendesha baiskeli!
Shangazi bwana,haya nisije ambiwa nimekuvunjia heshima bure,ila msalimie anko,nampa tano kwa kuweza kuula mfupa uliomshinda fisi!
 
Shangazi bwana,haya nisije ambiwa nimekuvunjia heshima bure,ila msalimie anko,nampa tano kwa kuweza kuula mfupa uliomshinda fisi!
Khaaaa!!!?Huko sasa nadhani ndo kuvunjiana heshima!
 
Khaaaa!!!?Huko sasa nadhani ndo kuvunjiana heshima!
Aaaah,shangazi sory lakini usimwambie anko!Atanipiga marufuku kuja kula mchana hapo home na ninakujua kwa utaalam wa kupika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…