Wadada; ni kweli hamtembei na khanga za akiba kwenye mikoba yenu?

Wadada; ni kweli hamtembei na khanga za akiba kwenye mikoba yenu?

Kitu ambacho sintokaa niweze ni kutoka bila khanga kwenye pochi.
Hata kama naenda waapi lazima niwe na khanga tuu
Naluhusiwa kuuliza?
Mana swali hili inabidi niombe ruhusa kwanza
 
Upo sahihi mkuu,mwezi uliopita kuna dada alipatwa na ada yake ktk mazingira ambayo angekuwa na kanga angestirika,Ilibidi watoto wa kiume waliokuwapo pale wakamuombee kanga jirani
Doh, si wanajifanya digital ndo mana wanaumbuka
 
Ni kweli, wadada wengi wa mjini hawabebi khanga. Isipokuwa kazi maalum.

Wakati wa ujana wangu, nilikua najua karibia Madanguro yote. Sasa ukitaka kwenda kuchomoa kifaa, kuna ishara moja kubwa sana kutaka kumjua huyu ni yeye ama la.

Ishara hiyo ni utakuta kakumbatia khanga au mtandio kwapani au kaushika mkononi pamoja na kipochi chake.

Khanga hizi zilitumika sana. Kutokana na kuwa ni 'show time', khanga ilitandikwa tu uchochoroni mnapiga show yenu kila ntu anasepa zake...... Hata kwenye Club ukimkuta mnaongea bei tu Chap Chap.

Hawaachi khanga hata iweje.
Mkuu inaonyesha unauzoefu kidogo
 
Back
Top Bottom