Wadada pigeni mswaki vizuri midomo yenu inatoa harufu

Wadada pigeni mswaki vizuri midomo yenu inatoa harufu

Mnawaiga wazungu "kula denda" wakati wao wana mifumo tofauti kabisa ya maisha!

Ninyi mnakula mavyakula magumu ya asili yaliyotoka shambani ambayo mengi yanasababisha harufu kali ya kinywa!

Mnabugia maboga, maviazi, makande, maugali na mawali halafu hapo hapo eti mnataka "kula denda".

Muishi kwenye uafrika wenu. Mnanyonya nyonya mamidomo ya watu ya nini!?
Kupeana stimu tu mkuu
 
Mnawaiga wazungu "kula denda" wakati wao wana mifumo tofauti kabisa ya maisha!

Ninyi mnakula mavyakula magumu ya asili yaliyotoka shamba ambayo mengi yanasababisha harufu kali ya kinywa!

Mnabugia maboga, maviazi, makande, maugali na mawali halafu hapo hapo eti mnataka "kula denda".

Muishi kwenye uafrika wenu. Mnanyonya nyonya mamidomo ya watu ya nini!?
Bonge la point mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom