Kupeana stimu tu mkuuMnawaiga wazungu "kula denda" wakati wao wana mifumo tofauti kabisa ya maisha!
Ninyi mnakula mavyakula magumu ya asili yaliyotoka shambani ambayo mengi yanasababisha harufu kali ya kinywa!
Mnabugia maboga, maviazi, makande, maugali na mawali halafu hapo hapo eti mnataka "kula denda".
Muishi kwenye uafrika wenu. Mnanyonya nyonya mamidomo ya watu ya nini!?
Weka link.
Mimi naipenda ile harufu na kile kirojo[emoji16][emoji16] Aiseeeeeeee utafanya nitapike
Tena wakumbuka na kuosha kama sio kusafisha chini ya korodani zao, wanakuwa na uvundo fulani (in case mtu ukitaka kula koni)Hata wakaka pia hii inawahusu tena mkitoka kunywa wanzuki na kangara ni bora msafishe mdomo kabla hamjalala.
Naomba link mkuu tupate madiniUsafi wa kinywa hauanzii na kuishia kwenye kupiga mswaki tu.
Nilishawahi kuandika uzi kuhusu hili suala la usafi wa kinywa kule jukwaa la afya [?].
🤣🤣🤣Tena wakumbuka na kuosha kama sio kusafisha chini ya korodani zao, wanakuwa na uvundo fulani (in case mtu ukitaka kula koni)
ugoro umeusahau nimemuona baraka hapa anaweka nimekukumbukaHata wakaka pia hii inawahusu tena mkitoka kunywa wanzuki na kangara ni bora msafishe mdomo kabla hamjalala.
Unaweza kuondoka na vipande vya maharage ya jana yake usipokuwa makini.Huwa waacha kusudi ili ukila denda upate urojo kidogodogo
Ptuuu!!Huwa waacha kusudi ili ukila denda upate urojo kidogodogo
Bonge la point mkuu.Mnawaiga wazungu "kula denda" wakati wao wana mifumo tofauti kabisa ya maisha!
Ninyi mnakula mavyakula magumu ya asili yaliyotoka shamba ambayo mengi yanasababisha harufu kali ya kinywa!
Mnabugia maboga, maviazi, makande, maugali na mawali halafu hapo hapo eti mnataka "kula denda".
Muishi kwenye uafrika wenu. Mnanyonya nyonya mamidomo ya watu ya nini!?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata wakaka pia hii inawahusu tena mkitoka kunywa wanzuki na kangara ni bora msafishe mdomo kabla hamjalala.