wadada tu ndo wasome hapa

wadada tu ndo wasome hapa

Kuwa mwangalifu na ukitakacho..! Huo uzuri wa nje usije ukakuponza dogo..!!
 
Dah!yule Changudoa mleta mada tayari umemalizana nae?maana kuna topic nyingine umeleta humu unaomba ushauri.
 
weka picha yako ilii tuthibitishe huo uhendsam wako isije kuwa mbuzi kwenye gunia bure....
Mm ndo najisifia coz kuba kadada kalinipenda lkn kakawa mpaka kanaogopa kutembea na mm
 
Back
Top Bottom