Wadada tusaidieni, mnataka nini?

Wadada tusaidieni, mnataka nini?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kumekuwa na kelele nyingi kwenye mahusiano; wengine wanasema bila hela hawataki mahusiano, na wengine wanasema bila kuridhishwa hawataki mahusiano. Sasa leo; naomba mtupe majibu, kwa sababu kuna wanaume wengine walijikita kwenye kutafuta hela na wakazipata, lakini mwisho wa siku mahusiano yao yakawa sio mazuri.

Haya wadada tupeni majibu; Je kwenye mahusiano, mnataka hela au mnataka penzi?

kichek.jpg
 
Naomba niwasaidie kidogo kujibu
Lakini pia ntakuuliza swali wewe mwenyewe
Je inawezekana kutenganisha pesa na maisha?
Yani uishi tu hapo dar au popote bila ya pesa?
Na je utaweza kutenganisha mapenzi na maisha? Yaani uishi tu bila ya mapenzi hapa duniani?
Jibu ni hapana
Kwahyo basi huwezi kutenganisha pesa na mapenzi...
Wajibu wa mwanaume yeyote ni kutafuta pesa!
Usijifariji kua kuna maisha bila ya pesa!
Usijifariji kua kuna mwanamke atakaa na wewe mmelala tu ndani atakula(utakula nini)?
Tafuta pesa...kila siku na kila wakati
Mpate dada mmja smart muelewe akuelewe
Leo unayo good tule,tuvae,watoto wameenda shule ..lakini pia tu save ili kesho tuwe na maendeleo
Hiyo ndio maana ya maisha!
Huyo anaelingia tako na makucha bandia ...atakupigavmizinga hadi nywere zipunyuke....na nyuzi kama hizi hazitakauka
Ila ukimpata mtu smart utaamka wewe mwenyewe kutafuta
Mkuu tafuta pesa as a man!
You’re the header
You’re the controller
Kila kitu kitakuhusu!
 
Naomba niwasaidie kidogo kujibu
Lakini pia ntakuuliza swali wewe mwenyewe
Je inawezekana kutenganisha pesa na maisha?
Yani uishi tu hapo dar au popote bila ya pesa?
Na je utaweza kutenganisha mapenzi na maisha? Yaani uishi tu bila ya mapenzi hapa duniani?
Jibu ni hapana
Kwahyo basi huwezi kutenganisha pesa na mapenzi...
Wajibu wa mwanaume yeyote ni kutafuta pesa!
Usijifariji kua kuna maisha bila ya pesa!
Usijifariji kua kuna mwanamke atakaa na wewe mmelala tu ndani atakula(utakula nini)?
Tafuta pesa...kila siku na kila wakati
Mpate dada mmja smart muelewe akuelewe
Leo unayo good tule,tuvae,watoto wameenda shule ..lakini pia tu save ili kesho tuwe na maendeleo
Hiyo ndio maana ya maisha!
Huyo anaelingia tako na makucha bandia ...atakupigavmizinga hadi nywere zipunyuke....na nyuzi kama hizi hazitakauka
Ila ukimpata mtu smart utaamka wewe mwenyewe kutafuta
Mkuu tafuta pesa as a man!
You’re the header
You’re the controller
Kila kitu kitakuhusu!
Vyote ni muhimu mkuu
 
Ukitegemea mdada anachotaka yeye basi utapuyanga na utaachwa tu unalia...unatakiwa mwanaume ww ndo ujue unataka nini,full stop
Kwa hali hiyo mkuu, utakuwa unajiridhisha mwenyewe, ukiondoka naye anaenda kwa jirani kumaliza hasira
 
Naomba niwasaidie kidogo kujibu
Lakini pia ntakuuliza swali wewe mwenyewe
Je inawezekana kutenganisha pesa na maisha?
Yani uishi tu hapo dar au popote bila ya pesa?
Na je utaweza kutenganisha mapenzi na maisha? Yaani uishi tu bila ya mapenzi hapa duniani?
Jibu ni hapana
Kwahyo basi huwezi kutenganisha pesa na mapenzi...
Wajibu wa mwanaume yeyote ni kutafuta pesa!
Usijifariji kua kuna maisha bila ya pesa!
Usijifariji kua kuna mwanamke atakaa na wewe mmelala tu ndani atakula(utakula nini)?
Tafuta pesa...kila siku na kila wakati
Mpate dada mmja smart muelewe akuelewe
Leo unayo good tule,tuvae,watoto wameenda shule ..lakini pia tu save ili kesho tuwe na maendeleo
Hiyo ndio maana ya maisha!
Huyo anaelingia tako na makucha bandia ...atakupigavmizinga hadi nywere zipunyuke....na nyuzi kama hizi hazitakauka
Ila ukimpata mtu smart utaamka wewe mwenyewe kutafuta
Mkuu tafuta pesa as a man!
You’re the header
You’re the controller
Kila kitu kitakuhusu!
Lakini bro hawa wenye tako ndio wazuri kwa kuwageggeda inabidi tuwe nao tuu hamna jinsi
 
Back
Top Bottom