Wadada tusaidieni, mnataka nini?

[emoji123][emoji123] hii ndio jumla ya maneno yote..
 
[emoji1787][emoji1787] wanasemaga mwanamke mzuri kama hana akili zitakazoumia ni seem za siri
Hamna lolote wanawaonea wivu tuu wanawake wazuri na waliobarikiwa tako. Kwanza mbususu haina makombo na ukumbuke bichwa lako limepita hapo sasa hako kakichwa kako cha mgegedo kataweza leta madhara gani makubwa?
 
Kwa hali hiyo mkuu, utakuwa unajiridhisha mwenyewe, ukiondoka naye anaenda kwa jirani kumaliza hasira
Sio kweli....na sina maana kua unajiangalia ww namaanisha misingi ya kuishi na mwanamke ww ndo uko responsible kujua unataka uishi nae vp..sio yeye ,time to Man up mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…