Want to Ask the same thing..!!
khe khe kheee heheheeeeeeeeee
PJ... Jafari ni muimbaji bongo fleva aliyenyimwa kipaji na muumba lakini good in vuvuzelization. Shyrose ni kada wa CCM anayeongoza kwa kugombea ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya chama bila kushinda hata moja. ni dada anayefanya NMB (kama sikosei) na mtu wa PR
the couple ilikua kama katuni fulani hivi, a total mismatch na kituko cha mji
MadamT mbona unauliza majibu? Sifa kuu ya viserengetiboys ni kuingia chumvini hadi sugamami anachizika! Hivi ulikuwa hujui kwa nini wanamuziki wa kizaire wanatunyang'anya wake zetu?Lakini tuangalie pande zote mbili hivi huyu Shyr alitegemea kuvuna nini kwa kitoto kile...!?
MadamT mbona unauliza majibu? Sifa kuu ya viserengetiboys ni kuingia chumvini hadi sugamami anachizika! Hivi ulikuwa hujui kwa nini wanamuziki wa kizaire wanatunyang'anya wake zetu?
Haika,ina maana hujasikia utaalam wa kijimto kwenye sofa?kuumbeee!!!
MADAM T wewe umebakiza mingapi utulete kitrajiwa AU MACHOYANGU tu
Ahahahahaaah, watu mna vituko!lady jd naye ana vituko kawaimba lakini bado anawaoa tu kwa kupenda kwao mteremko....
MadamT mbona unauliza majibu? Sifa kuu ya viserengetiboys ni kuingia chumvini hadi sugamami anachizika! Hivi ulikuwa hujui kwa nini wanamuziki wa kizaire wanatunyang'anya wake zetu?
MadamT mbona unauliza majibu? Sifa kuu ya viserengetiboys ni kuingia chumvini hadi sugamami anachizika! Hivi ulikuwa hujui kwa nini wanamuziki wa kizaire wanatunyang'anya wake zetu?
Hivi Hii Post Inatuhusu!!!!!
Naomba Mods muweke Jukwaa la Umbea alafu hii ndo iwe post ya kufungulia Jukwaa
Hivi Hii Post Inatuhusu!!!!!
Naomba Mods muweke Jukwaa la Umbea alafu hii ndo iwe post ya kufungulia Jukwaa
He! kumbe haihusiani na mapenzi nilikuwa sijaigundua...
Madam T nakuomba nikuombe tena tafazali.
taratibu kaka lol. you are becoming provocative.khe khe kheee heheheeeeeeeeee
PJ... Jafari ni muimbaji bongo fleva aliyenyimwa kipaji na muumba lakini good in vuvuzelization. Shyrose ni kada wa CCM anayeongoza kwa kugombea ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya chama bila kushinda hata moja. ni dada anayefanya NMB (kama sikosei) na mtu wa PR
the couple ilikua kama katuni fulani hivi, a total mismatch na kituko cha mji
Hahahaha!!Hako ka bwana mdogo katakuwa kana matatizo ya akili, maana kanavyolialia utafikiri kenyewe ndio ka kwanza kuachwa hapa duniani.