pauline
JF-Expert Member
- Dec 26, 2010
- 650
- 140
tuwapeni muda wa kupona majeraha yao jamani,
tunavyoendelea kuwadiscuss hatubadilisha ukweli kuwa jaffarai kamdhalilisha mwenzie,wala hatumponyeshi majeraha shy ya kudhalilishwa...sana sana ndio kwanza tunapalilia moto kwenye vidonda vyao! i hope shy atamsamehe jaffarai na kuona kwamba amefanya huo ujinga kwa sababu ameumia sana na amefeel betrayed kwa mtu aliyekuwa anamuamini.:coffee:
tunavyoendelea kuwadiscuss hatubadilisha ukweli kuwa jaffarai kamdhalilisha mwenzie,wala hatumponyeshi majeraha shy ya kudhalilishwa...sana sana ndio kwanza tunapalilia moto kwenye vidonda vyao! i hope shy atamsamehe jaffarai na kuona kwamba amefanya huo ujinga kwa sababu ameumia sana na amefeel betrayed kwa mtu aliyekuwa anamuamini.:coffee: