Wadada tusikae kimya lazma tukemee hapa tunadhalilishwa

Wadada tusikae kimya lazma tukemee hapa tunadhalilishwa

Sina raha sina raha eheee naumia na mawazo kama haunipendi............
 
Nyie wanawake kudhalilishwa mnaichukulia ka ndo excuse ya kutafutia sympath.

Katoto kakiume kanaweza shinda uchi siku nzima hakuna atakaye ongea,,kakike kikikaa uchi mtaani dakika mbili tu,utasikia mwanamke amedhalilishwa. Ivi ni kwanini???
 
Nimesikitika sana jinsi huyu dogo anavyomchana ex- wake kwenye vyombo vya habari

Aibu zaidi ni clouds kuacha haya yaende live

nadhani ni jukumu la wanawake haswa kupinga huyu dogo na pia lazima akina tamwa walaani tabia ya yule mabange kwenda kuweka vitu live

BTW, shyrose ni easy-go?

yaani 2hangaike kupinga dogo anamchana huyo dada kwa vyombo vya habar cha kupinga hapa ni kwa nini yule dada alikua anambaka mtoto wa mwenzie miaka yote hiyo. Anastahili yote wakubwa wenzie wenye busara zao hawaoni?
 
Mpaka jamaa alalamike kiasi hicho kwenye vyombo vya habari inaonyesha kwamba alikuwa ameweka matumaini makubwa sana kwa huyo sister; nadhani ni wakati muafaka kwa Shy naye kutoa her version of the story
 
nimependa mchango mmoja kwenye blog moja,
unasema mwanamke akiwa mama wa nyumbani na analelewa hili linaonekana sawa,ila mwanaume akiwa baba wa nyumbani na kulelewa hili linaonekana si sawa mbele ya jamii...kwa nini??? lini tutaachana na hizi stereotypes??? mbona wababa wanatubeba sana sie wanawake na hawalalamiki na kutuita mario nk?:laugh::laugh::laugh::laugh::twitch:
 
Ni kama wiki sasa kwenye magazeti ya udaku habari ikiwa ni SHYROSE-jaffarai
jafffarai anadai ni mchumba wa SHYR kwa miaka minane na walipanga kupata mtoto.

Hivi inaingia akilini miaka minane No mimba bila kasoro?Nijuavyo kama mwanamke una kasoro mwanaume hukuacha haraka kwa hiyo Jeff anamaswali ya kutujibu
JEFF anaende studio anamchana SHYR, clouds fm INAMPAKA TOPE SHYR for personal issues tena ana generalize WANAWAKE.

My take:Jeff kama hatadhibitiwa ataenda clouds Tv nakuonesha nguo za ndani za SHYR hence wanawake wote watadhalilika.Wanaume wanaolelewa lazima wajifunze kujitegemea+nidhamu sio kushinda vijiwe wakila pombe na sigara wakiachika waanza kulialia hadharani na mikwara feki.
SHYROSE anahaki ya kuwa na mtu amtakaye...hilo jeff linaliaaaa




hii tone inaonesha kabisa wewe dada umetumia muda wa kazi za NMB kutafuta huruma za humu ndani, mimi nipo tayari kushea na mbunge njoo kwangu japo mimi huwa sichani mistari yangu hadharani lakini nitakutoa huzuni zako.
 
nimependa mchango mmoja kwenye blog moja,
unasema mwanamke akiwa mama wa nyumbani na analelewa hili linaonekana sawa,ila mwanaume akiwa baba wa nyumbani na kulelewa hili linaonekana si sawa mbele ya jamii...kwa nini??? lini tutaachana na hizi stereotypes??? mbona wababa wanatubeba sana sie wanawake na hawalalamiki na kutuita mario nk?:laugh::laugh::laugh::laugh::twitch:
pAULINE VIPI umeshapata mume wakutokukulete bulley kwa watoto?
i realy like you
 
nimependa mchango mmoja kwenye blog moja,
unasema mwanamke akiwa mama wa nyumbani na analelewa hili linaonekana sawa,ila mwanaume akiwa baba wa nyumbani na kulelewa hili linaonekana si sawa mbele ya jamii...kwa nini??? lini tutaachana na hizi stereotypes??? mbona wababa wanatubeba sana sie wanawake na hawalalamiki na kutuita mario nk?:laugh::laugh::laugh::laugh::twitch:

pauline unajua maana ya uanaume? Yaani ukae kabisa nyumbani bila sababu za msingi ulelewe yaani mtoto wa kiume unaamua 2 na unachukulia poa, hiyo jinsia inabidi iondolewe tena pachimbwe kabisa
 
Kuachwa kuachwaaa wewe unakonda mwenzio ananenepa kwa mawazoo kwa mawazooo....
 
We Maty hebu futa kauli,hajabakwa mtu.mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio.kinachotakiwa hapa ni wanawake kujifunza,masharobalo ni muhimu kuwalea watupe uroda lakin tuchague wasiotoka mirembe.vyuo vikuu kunamasharobalo kibao wenye kuelewa fadhila ya nini ukachukue mnuka mkojo wa kijiweni?tumuache shyros avune alichopanda kama ambavyo alivyotumia vyombo vya habari kutujulisha uhusiano wao.ukitaka sharobalo wa kumlea,kabla hujafanya maamuz ewe mdada ntafute Firstlady nikupe sifa zao ufanye maamuz sahihi
 
Kwa nini ahurumiwe Shy peke yake, mimi naona hata Jaff anasitahili kuhurumiwa kwa kutoswa, mtu umewekeza akili yako miaka nane leo unatoswa, hata ungekuwa wewe ungepagawa tu.

Shy ( na hata Jaff) lazama ajue uhusiano wao kama watu maarufu ulijulikana katika jamii nzima hivyo hata kuachana kwao hakuwezi kuwa kimya kimya kama kuachana kwangu na mweza wangu ambao tunajulikana mtaani kwetu tu na ndugu zetu kadhaa. Hizo ndio gharama za umaarufu duniani kote.
 
wanajamvi mimi naona huyu dogo amesahau kuwa kila jambo linalo tokea ndani ya hii dunia lina maana yake kwa hiyo Jeff atakiwi kulia kiasi hicho kwani awezi jua mungu amemuepushia nini ktk maisha yake ambayo yange mretea matatizo makubwa sana hivyo cha kufanya ashukuru mungu na aendelee kusubiri kwani hiyo aikuwa riziki yake ipo njiani inakuja:laugh:
 
nasisitiza jeff akaombe msamaha haraka kabla SHY hajazama kwa mwingine mojakwa moja au ajifunze kufanya kazi kama watu wengine

hillooo.....jeff linalia amka usilale nenda kazini kazi ni kazi uliwaona wenzio wanasukuma mikokoteni wamefulia sasa ngoja tukuone utafanya kazi ipi wakati madaras pungufu......wahi wahi kabla nguo hazijapauka soli hazijasagika
 
Wanaishi wapi hata Tanzania au wapi?? Wekeni details basi tuwafahamu
 
pauline unajua maana ya uanaume? Yaani ukae kabisa nyumbani bila sababu za msingi ulelewe yaani mtoto wa kiume unaamua 2 na unachukulia poa, hiyo jinsia inabidi iondolewe tena pachimbwe kabisa




Dada Maty huo si ndio ukombozi wa mwanamke,ina maana mwanamke naye akiwa mtafutaji basi hiyo jinsia yake naye iondolewe na kuchomekwa ile nyingine???
 
Mie ni mwanaume lakini pia najisikia vibaya kwa vitendo vya bwa mdogo Jeff. Ni lazima adhibitiwe
 
Back
Top Bottom