Wadada! Ukitaka kupiga mzinga ..piga wa maana.

Naachaje sasa kwa mfano ameshatuambia tupige vizinga vya maana
Dawa yake huyo wote mkampige yeye mizinga ya ki-intaneshinali.... Yeye akiambiwa akipigwa mzinga mtoto atoe mara 200 yake ataweza?
 
Hivi hamuwezagi kujipiga jeki wenyewe mpaka boyfriend/ mme akuwezeshe?? Nyie ni vilema msiojiweza au?? Kwa nini huwapi wenzio ushauri wapambane, waache kuwa tegemezi??
50-50 itaendelea kuwa ndoto sababubya mentality ya wanawake wa type ya mwanamke mwenye mtazamo huu.
 
Hivi hamuwezagi kujipiga jeki wenyewe mpaka boyfriend/ mme akuwezeshe?? Nyie ni vilema msiojiweza au?? Kwa nini huwapi wenzio ushauri wapambane, waache kiwa tegemezi??
50-50 itaendelea kuwa ndoto sababubya mentality ya wanawake wa type yako.
Mkuu mi ni me naona maandishi yako yanamlenga mtoa mada kuwa ni ke au umemkusudia Shunie?
 
Wa mbili ni wa mbili havai mojs. Mtu kama level yake ni 10k hawezi kukuomba 1m, hata mtoaji inawwzekana muombaji anakuona wewe ni wa 10k akikuomba 1m atakukimbiza.

Sio kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara kwahio sio lazima wakuombe msaada ila ingependeza kama wewe ni wa aina hio usome alama za nyakati ujiongeze. Yaani ukiona anakupiga mzinga usimpe samaki mpe ndoano na kumfundisha kuvua samaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…