Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Ukiwa unatongoza demu pale Sasa bahati shuzi likakutoka

Utafanyaj happy miaka?!
 
Hiyo ni jadi yako😂😂😂
 
Huo ndo ukweli,kwanza makalio ya mwanaume hayako designed kushikwa shikwa.
yah,yani hata ukijikuna unasikia sauti ile ya kwaaah kwaaah kwaaah!!!! kama ya mtu anafagia nje na ufagio wa chelewa
 
Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!

i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Kabla ya tendo na baada ya tendo but baada ya tendo inategemea kwn yawezekana utamu uliouona machoni kabla kumbe ndani ni shubiri e.g harufu mbaya ukeni,nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…