Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Aiseee ktk ujibuji zingatieni hatutoi siri za kambi si mnaelewa kilichompataga yule kambare wa hamida aliegaragara akilia hamida kaniacha..😂😂

Sasa wandugu tuzingatie ujibuji heri lawama kuliko fedhea..😅
Hahahah fact mkuu
 
Hayo maumivu muwe mnayaweka kwenye koromeo hapo shingoni. Hiyo ni pain box kwenu wanaume na msiache maumivu ya kuchapiwa yawapelekeshe mkafanya maamuzi magumu.

Haha kama tunawachit nyie mtupende tuu na kutupa hela na mavitu matamu matamu, hakika mtafurahia dunia pasi us machungu mnayopitia.

Much love to you men, to me wanaume ni washkaji zangu sana, marafiki zangu sana, wapenzi wangu tangu juzi jana leo kesho kesho kutwa na mtondo mtondogoo na milele daima dumu. Mahaba yangu kwenu hayana kususa hata kama mnatuchiti.

Kitachonifarakanisha na wanaume ni kutumia nguvu zao bin mabavu kudhihirisha hasira juu ya mwanamke.

Maneno haya asiyasome malabuku Asprin
Heshima kwako sana Kasie matata, ila bado tunarud pale pale hakuna mwanaume anachukulia swala la kuchapiwa normal labda na mimi tuwekeane makubaliano kwamba kila mtu acheat ila tuwaangalie watoto ndo hcho tu.

Eti Papaa007 nikubali kuchapiwa na kutoa hela hyo ni dalili la kupigwa Ndumba[emoji19]
 
Bado.

Swali la nyongeza kwa ndugu wajumbe....

Kwanini mkiletewa mtoto wa nje ya ndoa mnakuwa mbogo wakati na nyie mnaacha chata kibao kitaani?!
Hii kitu ni nature! Mwanaume ni natural Polyggmy. Hivyo mwanaume kuzalisha wanawake wengine mbali na aliyenaye sio tatizo ila mwanamke sio na wala sio nature yake kuwa polygamy. Hivyo matokeo lazima yawe hasi ni sawa na mfumo wa food chain kwenda kinyume.
 
Ila akina Dada hakikisheni kabla sijakuoa chuchu ziniangalie mimi usoni zisiwe na aibu zikaanza kuangalia viatu vyangu

sijui nimeeleweka ?
Yaani zisiwe NDALA ....
 
Hayo maumivu muwe mnayaweka kwenye koromeo hapo shingoni. Hiyo ni pain box kwenu wanaume na msiache maumivu ya kuchapiwa yawapelekeshe mkafanya maamuzi magumu.

Haha kama tunawachit nyie mtupende tuu na kutupa hela na mavitu matamu matamu, hakika mtafurahia dunia pasi us machungu mnayopitia.

Much love to you men, to me wanaume ni washkaji zangu sana, marafiki zangu sana, wapenzi wangu tangu juzi jana leo kesho kesho kutwa na mtondo mtondogoo na milele daima dumu. Mahaba yangu kwenu hayana kususa hata kama mnatuchiti.

Kitachonifarakanisha na wanaume ni kutumia nguvu zao bin mabavu kudhihirisha hasira juu ya mwanamke.

Maneno haya asiyasome malabuku Asprin
Sitayaona kabisa wallah...

Hata nikiyaona ntazuga sijaona...

Wivu sina ila roho inauma...
 
1. Kwanini mnapenda kuangalia makalio ya wanawake?
2. Kwanini mkiachana na mwanamke huwa mnarudi nyuma Tena kutaka mrudiane huwa mnamaanisha au?
3. Kwanini huwa mnatekeleza familia zenu au watoto wenu wa damu ni kwamba hamna hisia au ujinga au hamna uchungu?
Yangu ni hayo tu
Majibu ni Kama ifuatavyo.
1.tamaa tu

2.alipoenda kakosa alichokidhania kipo, mwanaume wa namna hyo ni mtumwa wa hisia zake....hayupo ktk kundi la ma gentleman.

3.huyo mpumbavu Hana tofauti na anaekimbia kivuli chake Kwenye jua...anatafuta slope,kulelewa na huyu huenda akawa na hormones za kike,hayupo Kwenye kundi la ma gentleman.

4. Kuna maswali mengine
 
Majibu ni Kama ifuatavyo.
1.tamaa tu

2.alipoenda kakosa alichokidhania kipo, mwanaume wa namna hyo ni mtumwa wa hisia zake....hayupo ktk kundi la ma gentleman.

3.huyo mpumbavu Hana tofauti na anaekimbia kivuli chake Kwenye jua...anatafuta slope,kulelewa na huyu huenda akawa na hormones za kike,hayupo Kwenye kundi la ma gentleman.

4. Kuna maswali mengine
Asante kwa majibu mazuri na mjaribu nikiwa na swali lingine nitaku tag
 
Kitu ambacho nakiogopa nikiwa na mwanamke tunagegedana ni kushikwa makalio[emoji1][emoji1]

Yaani huwa sijui nawaza nini tu....

Kuna demu mmoja wakati tunagegeda alishika makalio yangu akayapanua ili upepo upite nichelewe kumwaga

Aiseee!!nilimumaindi sana.
Hii imenichesha sana.

Nlkuwa cjui ukitenganishwa makalio upepo ukapasua pale kati eeenh .. Unachelewa kumwaga .(hahahaa so stupid)

uyo dem n mse... Alkuwa anakuchota mkuu ,ili siku nyingine auparaze utako wako bila pngamizi

Lakin embu
Wajuz wa mambo embu tuambien hii kitu n kwer upepo ukipasua kwenye utako kati pale unachelewa ?
Inaweza ikawa na ukwer sema mm sijui tu
 
1. Kwanini mnapenda kuangalia makalio ya wanawake?
2. Kwanini mkiachana na mwanamke huwa mnarudi nyuma Tena kutaka mrudiane huwa mnamaanisha au?
3. Kwanini huwa mnatekeleza familia zenu au watoto wenu wa damu ni kwamba hamna hisia au ujinga au hamna uchungu?
Yangu ni hayo tu

1. Sio wote (Binafsi napenda kuangalia miguu kuliko makalio.)
2. Sio wote
3. Sio wote
 
Back
Top Bottom