Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Niko dsm, katika kukutana na ndugu yangu mmoja (KE), bahati mbaya ama nzuri akaja na jopo la Marafiki zake.(Hii haikua kesi)
Nyongo yangu ilinipanda baada ya kuona style ya ulaji ya wale kina Dada , kwanza waliagiza ndizi kama sita hivi na chips , hatimaye zililiwa ndizi tatu tu na chipsi wakagusa gusa nyingine zikaachwa hapo kwa madai kua sio nzuri kama sijui za wapi (walitaja jina mahala sipakumbuki)kwakweli mm niliona ni chips kama chips nyingine , pili ni jinsi walivyokua wanabakiza Minofu ya nyama kwenye Mifupa huku nyama nyingine zikitengwa pembeni kwa madai ya kwamba ni ngumu ilhali nyama ilikua Nyepesi kabisa tayari hata kutafunwa na Bibi kizee asiye na meno.
Mbaya kuliko zote , wao ndio walikua wenyeji na walisuggest sehemu hiyo ndio mahala pa kula.
Si sahihi sana kumsema mtu kwa ajili ya chakula ila kwa hawa wanawake wa mji huo wamezidi, kesi kama hii niliwahi kushuhudiwa na rafiki yangu mmoja ambapo sikuamini , sasa leo nimeshuhudia mwenyewe.
Niseme tu kwnye ile Kilo mbili na nusu nadhani ililiwa kilo tu na nyingine yote niliona muhudumu akiisukuma na tambara kwnye sahani ya uchafu.
Wadada wa Dsm please kuweni na huruma ..especially katika awamu hii ya tano .
Nyongo yangu ilinipanda baada ya kuona style ya ulaji ya wale kina Dada , kwanza waliagiza ndizi kama sita hivi na chips , hatimaye zililiwa ndizi tatu tu na chipsi wakagusa gusa nyingine zikaachwa hapo kwa madai kua sio nzuri kama sijui za wapi (walitaja jina mahala sipakumbuki)kwakweli mm niliona ni chips kama chips nyingine , pili ni jinsi walivyokua wanabakiza Minofu ya nyama kwenye Mifupa huku nyama nyingine zikitengwa pembeni kwa madai ya kwamba ni ngumu ilhali nyama ilikua Nyepesi kabisa tayari hata kutafunwa na Bibi kizee asiye na meno.
Mbaya kuliko zote , wao ndio walikua wenyeji na walisuggest sehemu hiyo ndio mahala pa kula.
Si sahihi sana kumsema mtu kwa ajili ya chakula ila kwa hawa wanawake wa mji huo wamezidi, kesi kama hii niliwahi kushuhudiwa na rafiki yangu mmoja ambapo sikuamini , sasa leo nimeshuhudia mwenyewe.
Niseme tu kwnye ile Kilo mbili na nusu nadhani ililiwa kilo tu na nyingine yote niliona muhudumu akiisukuma na tambara kwnye sahani ya uchafu.
Wadada wa Dsm please kuweni na huruma ..especially katika awamu hii ya tano .