Wadada wa Dar es salaam, acheni kubakiza nyama kwenye mifupa.

Wadada wa Dar es salaam, acheni kubakiza nyama kwenye mifupa.

Sio wadada wa dsm. Hao ni waigizaji. Wakirud kwenye mageto yao wanafidia ujinga waliofanya
 
Picha ya hiyo mifupa tuone kama unachoongea ni kweli
 
Daaah mie nikifika kwenye nyama kwa kweli huwa najifanya kama niko peke yangu,.yaani nakwangua kila panapofaa na kuomba kisu kama hakipo.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom