Wadada wa humu niacheni

Attention Seeker!!!
Yes ndio nilikuwa nawasubiri na ID ZENU zakiwaki hapa kazi umbeya hamna kazi za kufanya namnafuatilia maisha ya watu kama mnalipwa na huku hamna maana yeyote yakufanya eti attention seeker kwani wewe sio malaya seeker na hauna marinda siukapumzike tu . Uache kuja kuhangaika na mie nakupunguzia nini kazi umbeya tu. Hujulikani kisa umaskini tu unakuandama .
 
Upo serious kweli au unatania kama kawaida yako 😂😂
 
Una matatizo makubwa jaribu kujipa muda ujitenge na mitandao hii itakusaidia kidogo,najua ninachokizungumza.

Unaandika nonsense sana.
 
Vibonge hamnaga mambo mengi sana kwenye mechi mpo vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…