Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila watu😃😂😂Alafu wanakuloga nilinyamaza tu sikukwambia
Kumekucha 😂😂😂Kumekucha....😜😜😜
Mimi nataka aniripukie tu huko PM
Ngoja ataona post yako atakufataMimi nataka aniripukie tu huko PM
Wewe ni wakwanza unajua ni bora uwe kweli tu sio kuact we are cool na huku hunipendi , wewe kama wewe sina haja yakujielezea . Unajielewa kuwa wewe ni mtu hunipendi unafurahi nikisemwa nikitukanwa na mnastyle yenu yakunidiscuss ningependa kujua shida nini labda wewe unayejidai unanifagilia useme . Maana inaonekana hutaki kuona ID yangu yaani huna amani shida huwa nini??Kumekucha 😂😂😂
Nani kamuudhi da mau..??
Ila watu 😂😂😂😂Mimi sijui wewe ni mwanamke au nwanaume ila kifupi sikuelewagi hata
mleta mada kajichagulia ndio namuuliza ana uhakika alichovuta ni bangecocastic njoo utupe nyimbo nzuri ya taarabu ww unazijua nyingi 😂😂😂😂
nacheka huku natetemeka😀🙌😂😂😂😂 Ww hebu niachie da mau wangu, kwanza huna uwezo wa kumiliki pisi kali km da mau
Lamomy njoo ujibu hapa....Wewe ni wakwanza unajua ni bora uwe kweli tu sio kuact we are cool na huku hunipendi , wewe kama wewe sina haja yakujielezea . Unajielewa kuwa wewe ni mtu hunipendi unafurahi nikisemwa nikitukanwa na mnastyle yenu yakunidiscuss ningependa kujua shida nini labda wewe unayejidai unanifagilia useme . Maana inaonekana hutaki kuona ID yangu yaani huna amani shida huwa nini??
Da mau mimi tena..?? 😂😂😂Wewe ni wakwanza unajua ni bora uwe kweli tu sio kuact we are cool na huku hunipendi , wewe kama wewe sina haja yakujielezea . Unajielewa kuwa wewe ni mtu hunipendi unafurahi nikisemwa nikitukanwa na mnastyle yenu yakunidiscuss ningependa kujua shida nini labda wewe unayejidai unanifagilia useme . Maana inaonekana hutaki kuona ID yangu yaani huna amani shida huwa nini??
We cheka ila ss hivi atakayemchamba da mau ninaye, nawaambia kabisa hamuwezi kumnyima raha dada angu huku nawaona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣nacheka huku natetemeka😀🙌
Inabidi ujizuie hata usilike😂😂Da mau mimi tena..?? 😂😂😂
Mbona mi always niko upande wako, nani ka kusema??
Hebu tema mate nimchape..!!
Sasa da mau mi nikuchukue nakujua.??
Halafu mimi sina bifu na mtu yoyote humu..!!
Sema ww hutaki kuniona nacheka ukigombana na watu wako ilo ndo tatizo lako..!
We kuwezaaaa??? 😂😂😂😂Inabidi ujizuie hata usilike😂😂
Maybe anajua mtu ukiwa upande wake Maanake na maadui zake wawe wako,, kitu kisichowezekanaWe kuwezaaaa??? 😂😂😂😂