Wadada wa humu niacheni

Huu ndio mtandao unaoongoza kuwa na wehu ambao wanatumia fake ID kutoa stress zao. We ukitaka kujua wana JF wana mtindio qa Akili, post thread ya mafanikio. Utaona watakavyokushambulia.
Lakini kuanzisha thread ya malalamiko kama vile upo mtaani kwenu is way too much.
Mtu mwenye akili timamu hawezi lipuka hivi aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…