Tell hiyo stori tusikiewanatengeneza mazingira ya kuonekana wema na wastraabu ila hawako hivyo hata.
Hakuna mwanamke asiyependa hela kwa dunia ya sasa.
Hakuna mwanamke asiyechepuka.
Gentleman be carefully with beautiful lady humu ndani wengi ni Scam.[emoji419][emoji375]
I have a story to tell..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaumemimba nipewe na nani?
Ukweli nimesema mko kimaslahi Mnataka muonekane church girl kumbe ndo nyie tunaoshinda na nyie wavuvi campInaonekana hajui
Na akikua/ akizipata atajua, na ataona alikuwa akijipunja sana
[emoji1787][emoji1787] Sina maana mbaya ila jembe kadri linavyolima ndio linazidi kuwa kali. Unaonekana hujawahi kulima wewe
We Mshana ni mbwa??[emoji23] ukimuona umbwa ujue kazaliwa....!Tell hiyo stori tusikie
Sasa kama kweli watu hawapendi hela wasiseme?
Wanavyosema wanaume ni Mbwa, kwani wanaume wote ni mbwa? We Mshana ni mbwa??
Kwani haupendi hela,hauna lolote ukweli mie mwanamke mwenzenu lazima niseme mnajifanya makuhani wa msikiti nyie wanaizaya wajaalaana.Tell hiyo stori tusikie
Sasa kama kweli watu hawapendi hela wasiseme?
Wanavyosema wanaume ni Mbwa, kwani wanaume wote ni mbwa? We Mshana ni mbwa??
Naona bado hajalifahamu hiloInaonekana hajui
Na akikua/ akizipata atajua, na ataona alikuwa akijipunja sana
Hamna cha kuniambia .Naona bado hajalifahamu hilo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shauri yakoHahahha uongo bhana.
Nahisi watu wengi walimu mastafu serikali mna stress ma vikokotooHahahha uongo bhana.
Pole sana aiseeHamna cha kuniambia .
Hajawahi kushiriki chochote katika maisha yangu leo ndo Muwe washauri wangu .
Nimelala kwangu kwa kip cha kunivuruga shostSijui ulilala wapi usiku wa kuamkia leo ni kama umevurugwa ukavurugika
Kwa hela gani za kutafuta mbwembwe tuHakuna asiyependa hela ndyo lakini tunatafuta na sisi za kwetu hatutegemei kuhongwa kama wewe hapo,, hivi unajua kama hakuna kitu kizuri kama kula hela ya jasho kwanza halafu nyingine zije kama nyongeza [emoji39][emoji39][emoji39]
YaaaaniYaani hata chai haijashuka vizuri kaanza nongwa lake🤣
Linalonisumbua lipiHuyu anatutafuta toka jana nimemwona... anasema haongwi ndo tatizo lake linalomsumbua[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]