MZURI SANA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2023
- 240
- 546
- Thread starter
-
- #81
Umeelewa nilichokiandika lakiniNisipopenda pesa nipende nini [emoji3][emoji3]anaumwa huyu
Kwanza unasubiri apige yeye, kwanini kujisumbuaπ€£Yan hapa Leo bby nampigia simu maramoja asipopokea sirudiiπππsioshida zanguπ€£π€£π€£
Kwakweli pesa napenda halafu ya kupewa inakuwa nzuri sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π€£π€£π€£π€£Kwanza unasubiri apige yeye, kwanini kujisumbuaπ€£
Mbona tunaenda nao sawa tu hata nje ya humu JF..point mkuu,sasaivi tuko nao makini sana hawa wanawake wa jf
haaaaaaYan hapa Leo bby nampigia simu maramoja asipopokea sirudiiπππsioshida zanguπ€£π€£π€£
Sasa kwanini nimpigie mara nne jamniπ€£π€£haaaaaa
Kwa kweli hakuna sababuSasa kwanini nimpigie mara nne jamniπ€£π€£
Chukua maua yakoAsubuhi mmeamkaje.
Niseme hivi Gentlemen wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf.
Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi wadada juu ya mahusiano.
Actually nimeona nikipigwa sana hasa na jinsia yangu .
Ngoja niwaambieni wanaume humu ndani naona wadada wengi WASANII.
wanatengeneza mazingira ya kuonekana wema na wastraabu ila hawako hivyo hata.
Hakuna mwanamke asiyependa hela kwa dunia ya sasa.
Hakuna mwanamke asiyechepuka.
Gentleman be carefully with beautiful lady humu ndani wengi ni Scam.
Tusamehe my dear bi mzuri wetu πMm nmeshaeleza ya moyoni mengine mtayajua wenyewe
Mwandiko wako sio wa jinsia ya kike, hukujipanga vizuri kudanganya waungwana wa jei efuu πActually nimeona nikipigwa sana hasa na jinsia yangu .
Haina mawazo,unaweza hata nunua wigi wa jonijoKwakweli pesa napenda halafu ya kupewa inakuwa nzuri sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamama mmeonwa? Kuna mtu namdai ππRaha sana yaani hapa nakaangalia la sms ka salary natabasamu tu πππ
Pesa sabuni ya rohoo
ππ ni ngumu sana kumbadilisha mindset!!Ukweli nimesema mko kimaslahi Mnataka muonekane church girl kumbe ndo nyie tunaoshinda na nyie wavuvi camp
Umejaa laana weyeeKwani haupendi hela,hauna lolote ukweli mie mwanamke mwenzenu lazima niseme mnajifanya makuhani wa msikiti nyie wanaizaya wajaalaana.
Hahha taratibu muache afurahi kwanzaππWamama mmeonwa? Kuna mtu namdai ππ
Tulia hapo hapoMm nmeshaeleza ya moyoni mengine mtayajua wenyewe