Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
NoooHahha taratibu muache afurahi kwanza😂😂
Haitakiwi kupoa
Crdb wakamkata bureee 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NoooHahha taratibu muache afurahi kwanza😂😂
Nilitak nikukope ila Kwa namna hii nimeghairi😂😂😂Nooo
Haitakiwi kupoa
Crdb wakamkata bureee 🤣
Yaani penzi huwa linanogaa hawajui tu...yaani moyo unakuwa radhi,na mwili u radhi😁Kuna time unahongwa unafurah had unaenda kujichungulia ni hiii jamaa ndo katoa laki 5 au 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Hatari sanaYaani penzi huwa linanogaa hawajui tu...yaani moyo unakuwa radhi,na mwili u radhi😁
Halafu huyo mwehu anatusingizia hatupendi Hela😁🤣🤣🤣Hatari sana
💯🌹Asubuhi mmeamkaje.
Niseme hivi Gentlemen wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf.
Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi wadada juu ya mahusiano.
Actually nimeona nikipigwa sana hasa na jinsia yangu .
Ngoja niwaambieni wanaume humu ndani naona wadada wengi WASANII.
wanatengeneza mazingira ya kuonekana wema na wastraabu ila hawako hivyo hata.
Hakuna mwanamke asiyependa hela kwa dunia ya sasa.
Hakuna mwanamke asiyechepuka.
Gentleman be carefully with beautiful lady humu ndani wengi ni Scam.
We endelea na mipango yako tuNilitak nikukope ila Kwa namna hii nimeghairi😂😂😂
🤣🤣Hapana aiseeWe endelea na mipango yako tu
Hii isikukatishe tamaa
🤣🤣🤣
Huyo muanzisha mada ni tapeli aliyevaa ngozi ya Mwanamke kupata kiki
Li kakaHuyo muanzisha mada ni tapeli aliyevaa ngozi ya Mwanamke kupata kiki
Za chini ya kapeti zinasema ni mkaka mwenye kitambi na Wowowo na haja 😁😁Li kaka
🤣🤣🤣 Ankal wa moto kachachuka, kuna mmoja nilimchamba had akasema id yangu eti ya ankal Genta 😂😂😂Huyu tangu siku ya kwanza nilishamuona ni Me ameleft group Sasa ana haha hatari. Lamomy njoo mchukue mtu wako huku,uje na ankali Genta amnyooshe
Ahsante kwa tahadhari. Tutaanza kujilinda na kuweka umakini wa hali ya juuAsubuhi mmeamkaje.
Niseme hivi Gentlemen wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf.
Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi wadada juu ya mahusiano.
Actually nimeona nikipigwa sana hasa na jinsia yangu .
Ngoja niwaambieni wanaume humu ndani naona wadada wengi WASANII.
wanatengeneza mazingira ya kuonekana wema na wastraabu ila hawako hivyo hata.
Hakuna mwanamke asiyependa hela kwa dunia ya sasa.
Hakuna mwanamke asiyechepuka.
Gentleman be carefully with beautiful lady humu ndani wengi ni Scam.
Huyu nadhani mnampa airtime sana....hebu apumzike kwanza