Wadada wa JF mna maana gani kutumia avatar za sura nzuri ambazo sio zenu?

Wadada wa JF mna maana gani kutumia avatar za sura nzuri ambazo sio zenu?

3c877bdc27174f70ecad24c53a56debf.jpg
[emoji23][emoji23][emoji23] nina video yake nikakumbuka ana chura hatariii
Nipe hio kitu nipunguze machungu ya vyeti fake
 
Kuna mmoja anapatikana sana maeneo haya dah!

Ana avatar ya uhakika, si akatafutwa kwa namna zote,
Nikaja kumuona sikupenda kuonesha mshituko kwake,
kwa ujumla hana nilichovutiwa naye,
Sikumuulizia nini kilimpata kwani ana ngeo kubwa mno karibu na jicho upande wa kushoto, nadhani ni mtu wa Tarime kwani ndo waso huruma kiasi hicho.

Nilijitahidi kutoa huduma zote kama mgeni wangu,
Na mwisho tumekuwa watu wa karibu na marafiki wa kawaida.

Tunataniana mpaka anazungumza sababu ya kubadirishia gia angani nami namwambia si kweli basi anacheka sana tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kiukweli huwa mnatutia genye sana na hizi avatar.
Yani unatamani kumfuata mtu PM kisa avatar yake.

Afu mkija humu mnalalamika mnasumbuliwa. Si muweke avatar ya sura mbaya muone km kuna mtu atakusumbua?

View attachment 503513 View attachment 503514 View attachment 503515 View attachment 503516
Tatizo linakuja hapa,

Kila mtu humu kajiunga kwa matakwa yake, anapewa akaunti na kuweka kile akitakacho. Kama ilivyo wewe hapo upo huru kutumia akaunti yako, kuwaambia waweke za namna fulani ni kuingilia uhuru wao wa kutumia akaunti zao.

Huki kutiwa ashiki/mshongo/nyege si kosa lao, waache wafanye wanachopenda. Kila mtu ana uhuru wa akaunti yake, wewe upo huru. Why uingilie wa mwingine?


Niwie radhi, yamkini comment yangu yaweza kuwa karaha kwako.
 
Have you ever created any human.. Wote tuliumbwa na Mungu! So we are equal uwaache watoto wa watu
Well said mkuu.....ila inakera unakuta demu ana sura mbaya alafu anaringa.....mbaya zaidi ukimsalimia unakuta anakushusha alafu anakupandisha, anasonya alafu anatema mate chini...
 
Well said mkuu.....ila inakera unakuta demu ana sura mbaya alafu anaringa.....mbaya zaidi ukimsalimia unakuta anakushusha alafu anakupandisha, anasonya alafu anatema mate chini...
Imewahi kukukuta majibu pleas
 
Imewahi kukukuta majibu pleas
eee dem nilikuwa nataka nimtokee alikuwa na sura mbaya nikajua ,atajaa kingi afu ntapiga kirahisi, du kinyume chake ikawa dharau na kejeli, nilichofanya ili kuharibu kabisa nikamwambia ananuka K, ilikuwa utata
 
Back
Top Bottom