Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Sasa jitahidi ufike kilingeni Msata haraka ila kwenye hiyo list yako kuna mtu naomba umremove kwa sababu za wazi kabisa
 


Kumbe DJ sepetu ni mwanamke.
 
Unadhani wanawake wa Jf ni mandezi kiasi hiki!
Hata kama tuko nyuma ya keyboard, tunakujua mpaka mfukoni kwako kulivyo.
Baba, tafuta pesa....hizi sixpack waachie waliojichanga tayari.
Mwanaume asie na pesa, Pm ataipata kwa modereta kipindi anapewa sababu ya kwanini kala ban, otherwise.....utaisikia jukwaani tu.
Tena modereta mwenyewe wa kiume.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo kiufupi hana hela
 
Bora hujamuweka Mzigua90 hapo kwenye list yako
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…