Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Jamani jamani wadada wa Jamii For life naomba msaada wenu please.
Nimejiunga Jf Dec 1 2016 Alhamis leo ni march 19 2018 nina kama mwaka miezi minne na siku 18 lakini toka siku hiyo sijawah pata pm yoyoye ile! 😡😡 Hata mtu kukosea njia akawa kani pm mm haijatokea hata salamu tu sipatiiii😱
Wengine wanapata wapenz, wanabebishana wanakulana, wanamahaba niue ila KASORO DAVINCI TU! WHY?????
Mshana Jr nitikisie tunguri nami nipate kanjiwa kamoja ka kubebishana nako humu
Taarifa iwafkie..
  • Jolie jolie
  • Numbisa
  • Demiss
  • Mama aabrina
  • Geniveros
  • Demi
  • Shunie
  • Miss natafuta
  • Inna
  • Maserati
  • Minah24
  • Nahuja
  • Carbamazepine
  • Cute b
  • Miss chagga
  • Sakayo
  • Witness j
  • Victor wa happy
  • Cocochanel
  • Madame B
  • Lovely mumu
  • Dj sepetu
  • Mareth
  • Madam S
  • Gfsonwin
  • Mahondaw
  • Ukhuty
  • Kapeace
  • Nitarudi kuendekeza....
  • Gentamycine
  • V putin
  • Limsambwanda
  • Tumosa
  • Y2n
  • Majoto
  • Kioo
  • Mambembe
  • beira boy
  • The list
  • Yeth lotah
  • Padri mcharo
  • Kisandu junior

Mkuu,
Una mwaka mmoja tu unalalama hivyo wakati watu tuna miaka 9 hapa jukwaani na hizo PM hazijawai kukosea njia.

godforsaken!
 
Unadhani wanawake wa Jf ni mandezi kiasi hiki!
Hata kama tuko nyuma ya keyboard, tunakujua mpaka mfukoni kwako kulivyo.
Baba, tafuta pesa....hizi sixpack waachie waliojichanga tayari.
Mwanaume asie na pesa, Pm ataipata kwa modereta kipindi anapewa sababu ya kwanini kala ban, otherwise.....utaisikia jukwaani tu.
Tena modereta mwenyewe wa kiume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
People u are not seriou. Mtaani wamejaa wanawake wa kila aina hat wa kusoma wapo tu ni kubip unapigiwa, wewe waangaina na wa JF?
 
Back
Top Bottom