Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Hahahahahah umemuua jamani
 
Duuuhhh wacha tusokua nahela tuendelee kupendwa mpaka basi.
 
Hahahah hadi DJ Sepetu ni mdada?
PM ya mods zinakuja kukutaka utengue kauli.
 
Mkuu haya mamba achana nayo ww chapa kazi watakuja wenyewe
 
wanawake wa jamii forum mna roho mbaya sana...yan mtu anaomba ata mjaribu kumpm ila wengine ndo kwanza wanawaza kuzifunga[emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…