Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!


Mkuu,
Una mwaka mmoja tu unalalama hivyo wakati watu tuna miaka 9 hapa jukwaani na hizo PM hazijawai kukosea njia.

godforsaken!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
People u are not seriou. Mtaani wamejaa wanawake wa kila aina hat wa kusoma wapo tu ni kubip unapigiwa, wewe waangaina na wa JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…