Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Jamani hawa wasaidizi wetu wa ndani tunawapenda na tunawajali sana.yale maisha ya wasichana wa ndani kulazwa chini,kunyimwa msosi, kupigwa ,kutothaminiwa kwa kweli siku hizi yamepitwa na wakati.sasa hivi ukienda kwa mtu hata kujua beki tatu ni yupi inakuwa shida maana tumewapendezesha hadi basi. hata wababa ndani hawajui mke ni yupi au beki tatu ni yupi kote mnapakua tu
Ila jamani kuna shida moja naiona hata nimejadili na wamama wenzangu .unajipausha maka mzima kukopa vicoba ili ununue vyombo vizuri ila jamani jamani wanavipasua hao .sijui kuna pepo ama nini.
Mimi nilikaa mwaka mzima bila dada sijawai kupasua hata chombo kimoja ila dada kaja miezi mitatu naona sasa bila kupasua kitu hapumui.
Tufanyeje jamani maana ukikata mshahara unaonekana mbaya.ukifukuza a naekuja nae kama anakuja na nyundo yake rohoni
Ila jamani kuna shida moja naiona hata nimejadili na wamama wenzangu .unajipausha maka mzima kukopa vicoba ili ununue vyombo vizuri ila jamani jamani wanavipasua hao .sijui kuna pepo ama nini.
Mimi nilikaa mwaka mzima bila dada sijawai kupasua hata chombo kimoja ila dada kaja miezi mitatu naona sasa bila kupasua kitu hapumui.
Tufanyeje jamani maana ukikata mshahara unaonekana mbaya.ukifukuza a naekuja nae kama anakuja na nyundo yake rohoni