Wadada wa kazi na kupasua vyombo

wengine wanatolea hasira kwenye vyombo.....
 
Mama akivunja vyombo ni bahati mbaya kuvunja dada si mwangalifu, sijui anafikiria wapi akiwa anaosha vyombo.
 
ahaaaaa nimecheka balaaa yaani asipovunja anaumwa vile.pole jamani .
 
nyie wadada naona kama mpo kwangu yaani .ni majanga poleni sana.kumkata mtu hela yake bwana inauma sana .unaanzaje jamani?
 
hakuna hata anaemuangalia bna .wala hatuna shida nae nyumba yetu wadada watupu yeye tu na makusudi yake
 
Walete RISE AFRICA, watatudi wapya kuanzia miili na roho..!
 
Nimenunua dinner sets ambazo ni special kwa wageni kama miss Natafuta. Hizo ninaziosha mwenyewe, za kila siku ni zile store brand hizo ninabadilisha kila baada ya miezi sita. Hazikawii kuwa na mapengo.
 
Kanijibu hivyo hivyo, "vinateleza" mbona Mimi nikiosha havitelezi? Huku Ni kupeana hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…