lol? nani kakwambia hivo kaka??
sio bure mtu kaguswa humu
ukikua utajifunza kuleta mada zenye akili,nakupa another two years in JF....mwenyewe utajiona ulivyokuwa *****,
Niliishi kule miaka ya 80 mwishoni enzi zile za ukimwi ulivyoshika kasi kule migombani. Ilikuwa kama sodoma na gomora, hakuna shemeji wala kaka.
wachaga wa wapi wenye makalio makubwa