Wadada wa kichaga na upishi

Wadada wa kichaga na upishi

Status
Not open for further replies.
Hahahaaaa loh...
Love you babu..
Sikuchoki
Umemtania mama yangu ujue... nimeumia sana.

Nikikumbuka mabumunda niliyokuwa namuibia enzi zangu... roho inauma sana. Bora hata ungemsingizia kwenye biriani... lakini andazi?? Jamani jamani jamani...

Nimekusamehe lakini sitakusahau
 
Wewe mbu umrekebishe nani?

Yaani, kwa ushamba wenu ninyi vya saka hamna cha kuturekebisha.

Yaani kama umwambie mbwa amrekebishe ninadamu.

Mbwa ni mbwa tu, na mtabaki mambwa forever maana maana.
Umeona Sasa mlivyokuwa hampendi kuambiwa ukweli.
Mm nimesema ukweli wangu ww unakuja kutukana badala ya kujibu kwa hoja.
Inabid mtu akisema kwamba mna miguu myembamba na imepinda ww either mtafute mlikosea wapi au uje na hoja ya msingi kukataa Hilo.
 
Umeona Sasa mlivyokuwa hampendi kuambiwa ukweli.
Mm nimesema ukweli wangu ww unakuja kutukana badala ya kujibu kwa hoja.
Inabid mtu akisema kwamba mna miguu myembamba na imepinda ww either mtafute mlikosea wapi au uje na hoja ya msingi kukataa Hilo.
Sasa miguu inakujaje tena kwenye mada hii?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom