Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Sasa nani mjanja hapo. Mwajiri au mwajiriwa? Kama anaweza kuajiri mpishi wa kizigua kwanini ateseke kuunguzwa na mafuta?Hawapiki wao huwa wanaajili wataalam wa hayo mambo,mambo yana wenyewe hayo ,suala la mchaga na mapishi wapi na wapi