Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

Mimi kama kijana mdogo wa miaka 29 maana uzee uanza 45 years, napenda kupendeza sana na uhandsome wa mwanaume ni kunyoa.

Story inaanza nimeamka Jumamosi flani mapema nikaenda jumuiya na nikafanya majukumu binafsi, Nikaamua niende Sinza kunyoa sitataja saluni kuingia nikanyoa fresh.

Sasa kusubiri black ikauke kuna zile pisi kali za kuosha nywele toto white flani rangi ya mtume yaani cream ebony delavida mnaelewa nafikiri zimekaa kitaalamu.

Nikaingia kwenye zile room sasa wakati naoshwa nywele wakaanza kutekenya masikio nikasikia hutaki massage 50,000 tu tunamaliza kila kitu.

Kwa kweli wanajua kupandisha ashki za mwanaume na ukiwa legelege unaacha mtaji, cha kushukuru niliacha simu nyumbani nilikuwa na 20k tu.

Kusema ukweli hawa watu ni hatari, wana njia zote za kuiba hela yako wakati wanakuosha wanakuwa wamevaa blouse no brazia kwahiyo mtindi unaona wote so hauwezi kutoka salama na wana lipa kwa simu, mastercard yaani wapo kitaalamu Sinza ni hatari nyie.

Selemani sele.
Kijana mstaarabu.
Naijua hiyo saloon
Kuna mmoja aliniosha na kunitekenya masikio na akamaliza kwa kunipa kumbato moja matata

Nilipewa na namba , juzi nampigia simu namuuliza vp anasema muda nipange Mimi..... Ila dah nakuwa wasiwasi japo nilimwambia nitampanga ila roho inasita
 
Nije PM nikuelekeze barbershop yangu kuna demu huyo wa message nilimtoa Katesh kipindi cha maporomoko ya matope. Kuna vijana wanafanya massage mara tatu kwa wiki maana nimeweka bei elekezi. Hilo toto liko sex Marehemu Masogange anasubiri na anakitombesha balaa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Nakuja huko
 
Naijua hiyo saloon
Kuna mmoja aliniosha na kunitekenya masikio na akamaliza kwa kunipa kumbato moja matata

Nilipewa na namba , juzi nampigia simu namuuliza vp anasema muda nipange Mimi..... Ila dah nakuwa wasiwasi japo nilimwambia nitampanga ila roho inasita
Nunua durex tu
 
Nije PM nikuelekeze barbershop yangu kuna demu huyo wa message nilimtoa Katesh kipindi cha maporomoko ya matope. Kuna vijana wanafanya massage mara tatu kwa wiki maana nimeweka bei elekezi. Hilo toto liko sex Marehemu Masogange anasubiri na anakitombesha balaa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Nielekeze tu ndugu yangu
 
Nije PM nikuelekeze barbershop yangu kuna demu huyo wa message nilimtoa Katesh kipindi cha maporomoko ya matope. Kuna vijana wanafanya massage mara tatu kwa wiki maana nimeweka bei elekezi. Hilo toto liko sex Marehemu Masogange anasubiri na anakitombesha balaa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Hii huduma kwa Dom tunapata wapi
 
Jamani Kuna siku nilifanyiwa masaji afu mnara ulikuwa unasoma 7G+ sasa yule dada alivyo pisi Kali akaishika maksudi akadai bahati mbaya na akaniomba msamaha lakini dk 3 baadae akasema huo mtwangio utanifaa sana mi huwa sikumbuki Hadi Leo
Toa location mzee
 
Jela ni mfano nimetoa kukuonyesha kuwa miaka 29 na 40 wote ni watu wazima.

Hivi unajua kuwa kuna watu wakiwa na miaka 25 waliweza kujenga, kuwa na usafiri na mambo mengine ya msingi ila leo wana miaka 35 hawawezi kufanya waliyoyafanya na miaka 25? Kwa hiyo kama suala ni muda wa kufanya maendeleo still si ishu.
inategemea na mazingira pia mi nikiwa na miaka 23 tayar nilijenga na kununua nisani mark II
 
Mimi kama kijana mdogo wa miaka 29 maana uzee uanza 45 years, napenda kupendeza sana na uhandsome wa mwanaume ni kunyoa.

Story inaanza nimeamka Jumamosi flani mapema nikaenda jumuiya na nikafanya majukumu binafsi, Nikaamua niende Sinza kunyoa sitataja saluni kuingia nikanyoa fresh.

Sasa kusubiri black ikauke kuna zile pisi kali za kuosha nywele toto white flani rangi ya mtume yaani cream ebony delavida mnaelewa nafikiri zimekaa kitaalamu.

Nikaingia kwenye zile room sasa wakati naoshwa nywele wakaanza kutekenya masikio nikasikia hutaki massage 50,000 tu tunamaliza kila kitu.

Kwa kweli wanajua kupandisha ashki za mwanaume na ukiwa legelege unaacha mtaji, cha kushukuru niliacha simu nyumbani nilikuwa na 20k tu.

Kusema ukweli hawa watu ni hatari, wana njia zote za kuiba hela yako wakati wanakuosha wanakuwa wamevaa blouse no brazia kwahiyo mtindi unaona wote so hauwezi kutoka salama na wana lipa kwa simu, mastercard yaani wapo kitaalamu Sinza ni hatari nyie.

Selemani sele.
Kijana mstaarabu.
We mgalatia umerogwa?
 
Ila kiukweli Mungu fundi anajua kubalance nature.
Hivi hizo mbegu(ngozi ya Mtume) za kateshi na meru na singida zingepewa na akili walai dada zangu weusi wa minziro wasingeolewa mjini huku. Yan unakuta mdada ni full package.
Ila tabia sasa!
Maono sasa!
Antena sasa!
Ukavu sasa!
 
Back
Top Bottom