Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

Naijua hiyo saloon
Kuna mmoja aliniosha na kunitekenya masikio na akamaliza kwa kunipa kumbato moja matata

Nilipewa na namba , juzi nampigia simu namuuliza vp anasema muda nipange Mimi..... Ila dah nakuwa wasiwasi japo nilimwambia nitampanga ila roho inasita
 
Nakuja huko
 
Nunua durex tu
 
Nielekeze tu ndugu yangu
 
Hii huduma kwa Dom tunapata wapi
 
Jamani Kuna siku nilifanyiwa masaji afu mnara ulikuwa unasoma 7G+ sasa yule dada alivyo pisi Kali akaishika maksudi akadai bahati mbaya na akaniomba msamaha lakini dk 3 baadae akasema huo mtwangio utanifaa sana mi huwa sikumbuki Hadi Leo
Toa location mzee
 
inategemea na mazingira pia mi nikiwa na miaka 23 tayar nilijenga na kununua nisani mark II
 
We mgalatia umerogwa?
 
Ila kiukweli Mungu fundi anajua kubalance nature.
Hivi hizo mbegu(ngozi ya Mtume) za kateshi na meru na singida zingepewa na akili walai dada zangu weusi wa minziro wasingeolewa mjini huku. Yan unakuta mdada ni full package.
Ila tabia sasa!
Maono sasa!
Antena sasa!
Ukavu sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…