Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
- Thread starter
- #41
Unataka nife na Typhoid mkuu. Maji ya DAWASCO ni hatari kwa tumbo. Basi ntumie hiyo 700 kabisa maana 500 alishatuma nikanywe maji.Naongezea mia saba ... Sikwasababu ndo uwezo wetu bali kwasababu leo unapaswa unywe maji ya kutosha tena haya ya KLM ndio pure, yatakapoingia mwilin mwako tu, yatasaidia kuurudisha ubongo wako katika hali changamfu kwakua leo umeumiza Bongo !!
Yasipotosha,, niambie nikuchotee maji ya Dawasco hapa dumu zima nikuletee.