Wadada wa Mjini na Tabia ya Kuongeza 000

Unataka nife na Typhoid mkuu. Maji ya DAWASCO ni hatari kwa tumbo. Basi ntumie hiyo 700 kabisa maana 500 alishatuma nikanywe maji.
 
"A lotta niggas is thousandaires
Walking round town, fronting like they got mils
For what it's worth, I'm one myself
But my strength in the hood outruns my wealth" - Jadakiss "Kiss of Death".
 
Mkuu sometime na sisi usipo tudanganya waGumu kutoa hela. ila endelea na moyo huo huo
Ndo maana tumewajulia kwenye ujasiriamali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanakua wanatamani mahusiano yalast ila ndo vile shida ziko mbele zaidi hamna jinsi zaidi ya kudanganya tu.
 
Mkuu jitahidi kula vyakula vilaini yatatosha
Sijala mpaka muda huu nawaza nikinywa maji njaa itazidi. Nilitaka kufunga leo ila kwa hali niliyo nayo inabidi nikale tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mwingine anaitwa Esma diamond,Kule insta,,eti lotion ya kuuza elfu kumi,yeye anaongeza laki mzima,
Ukiangalie wala haina cha maana,carot lotion,alovera lotion,avocado etc
Sasa si bora niponde ponde hizo carot nijipake kuliko kuingia gharama yote hiyo,wakati maduka ya mitaani bei chini
 
Sasa wengine wanajua kabisa wanapigwa hiyo bei ila wanataka sifa sababu wameenda dukani kwa dadake Diamond
 
Sijala mpaka muda huu nawaza nikinywa maji njaa itazidi. Nilitaka kufunga leo ila kwa hali niliyo nayo inabidi nikale tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jitahidi aisee leo umeongea point sana, wenzako bado wanakaza vichwa ila they'll Thank you later coz ukila hela ya kiDume lazima pia asimamie kucha pale kwenye kale katukio
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Anaibia sana watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…