Wadada wa Mjini na Tabia ya Kuongeza 000

[emoji2] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vibomu vya wanafunzi vimekushinda
Sasa mtu unaomba hela ukajenge unapewa hela ya maana hata kiwanja unashindwa nunua si ujinga huo? Si bora usubiri utakayopewa ambayo hutaulizwa imeishaje mbona ilikua inatoshea shida zako [emoji23][emoji23]
 
Uliniona mie slay queen?? Sema hata ukiniona live utajua na mie slay queen kumbe walaaa. Wanaonionaga kwa mbali wananionaga huyu dada hagusiki kumbe wala sinaga makuu

Mkuu bila picha hayo maelezo ni unyanyasaji.
 
Mkuu bila picha hayo maelezo ni unyanyasaji.
Sina zile swagga za slay queens sema si unajua ukionekana na watu fulani fulani ndo unawekwa rank hizo ndo kinachonikumba mimi. Kubeba pochi zai wananiona niko kama wao [emoji4][emoji23][emoji23]
 
Yani hata akupe elfu 2 moyo unalipuka kwa furaha. Tusiowapenda tunakulaga hela za kwa mawazo kweli hasa tukiwaza muda wa kulipa itakuaje

😀😀 unatoa kama ulivopokea, na hapo ndio masela tunachukuaga point 3 muhimu, unaeza usiombe tena hela hahaha
 
Hivi lakini Mzigua90 unajua hufanyi poa kuyaeleza haya ya mwenzako hapa.
Wewe utakuwa umeumia kwa namna moja ama nyingine, naomba nikupe pole japo ulichokisema kila ukweli.
 

mmh.. labda kama amezaa na huyo me.. hivi hivu tu mtu akupe laki 5... hata bakhressa hatoi
 
Kama hii story ni kweli basi kuna ugumu uliopitiliza wa Maisha.
Ila na wewe mshkaji kirahisi tu una mpeleka getho demu mme kutana kama ajali.
Kuwa makini sana mjini hapa
 
mmh.. labda kama amezaa na huyo me.. hivi hivu tu mtu akupe laki 5... hata bakhressa hatoi
Laki 5 mbona kawaida kabisa. Sema huna ndo maana huwezi toa ila mwenye nayo kumpa mwanamke wake wala haina sjida
 
N
Naomba
 

MIE NITOE 10MIL nimpe GF??????????? hahahah dah kwel kuna watu wana akili fupi.. huyo dada nampa BIG UP aendelee kuwanyoosha tu.....
 
😀😀 unatoa kama ulivopokea, na hapo ndio masela tunachukuaga point 3 muhimu, unaeza usiombe tena hela hahaha
Shida haina adabu. Unaomba huku moyoni unalia
 
Hivi lakini Mzigua90 unajua hufanyi poa kuyaeleza haya ya mwenzako hapa.
Wewe utakuwa umeumia kwa namna moja ama nyingine, naomba nikupe pole japo ulichokisema kila ukweli.
Nione wivu wa nini mkuu wakati na mie akipewa nakulaga?? Ningekua na wivu ningembebea mabwana zake maana wana njaa hatari ila mi mstaarabu huwa naficha njaa zangu wala siwezi ona wivu maana nikivitaka napata kwa hao hao.
 
Kama hii story ni kweli basi kuna ugumu uliopitiliza wa Maisha.
Ila na wewe mshkaji kirahisi tu una mpeleka getho demu mme kutana kama ajali.
Kuwa makini sana mjini hapa
Na yeye mrohooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…