Wadada wa Mjini na Tabia ya Kuongeza 000

MIE NITOE 10MIL nimpe GF??????????? hahahah dah kwel kuna watu wana akili fupi.. huyo dada nampa BIG UP aendelee kuwanyoosha tu.....
Si wana hela jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna ka ukweli.
Ila kwenye bei za vitu ujue kuna fake na original.
Pia lazima tukubaliane,mnaweza kuwa kwenye circle ya maisha ila mnatofautiana sana kipato.
 
Hahahaaaa yule mmoja aliniambia kodi analipa 600k

Dalali akaniambia wanalipa 250k...

Maisha ni rahisi sana ukiwa huru.
 
Mzigua unashindwa kuafford laki na ishirini,Mimi nakuchuliaga wa gharama kumbe ninnaweza kukuafford na kukupa kila kitu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna ka ukweli.
Ila kwenye bei za vitu ujue kuna fake na original.
Pia lazima tukubaliane,mnaweza kuwa kwenye circle ya maisha ika mnatofautiana sana kipato.
Wakati mwingine duka moja ujue ila anakutajia bei tofauti. Mmoja alienda nunua powder pale vazi nikaipenda nikwambia umenunua sh ngapi akasema kanunua 90k kwenda Vazi naikuta 25k na hamna duka wanauza bongo zaidi ya hapo.
 
Mzigua unashindwa kuafford laki na ishirini,Mimi nakuchuliaga wa gharama kumbe ninnaweza kukuafford na kukupa kila kitu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Inategemea nanunua nini mkuu. Siwezi nunua kitu ninachoona napigwa no no no
 
Kheeeee makubwa ....hivi kufake maisha ni sifa au ulimbukeni .....unaenda kuazima gari ya mtu hammadi umepata ajari gari iko meng'emeng'e utalipa nini???? Ifike mahala tukubaliane na hali zetu na tujue mpaji ni mungu na fungu lako lipo IPO siku utapata cha msingi kuongeza juhudi na maarifa katika kutafuta riziki yako full stop
 
Wanawake wengi wa Tanzania wameamua rasmi kutumia kiungo chao cha uzazi kupiga pesa,,..hivi huyo jamaa aliyetoa 10m anajielewa kweli??,,au labda na yeye ni millionea!!
Ukiona hivyo ujue milionea ....hawezi toa mil 10 wakati anazo 20
 
Wakati mwingine duka moja ujue ila anakutajia bei tofauti. Mmoja alienda nunua powder pale vazi nikaipenda nikwambia umenunua sh ngapi akasema kanunua 90k kwenda Vazi naikuta 25k na hamna duka wanauza bongo zaidi ya hapo.
Maybe edition tofauti.
Na mara nyingi mtu mdanganyifu anaweza akawa anapenda competition.
Lakini kama kweli mtu kanunua perfume laki tatu,kariakoo ukaikuta ile ile elfu 12000 huenda kweli alinunua bei hiyo alipigwa!
Au kanunua mafuta laki ila matokeo yake bora apake vaseline.
Inatokea sana.
Inshort kuact maisha ni kugumu sana.
 
Zamani ulikuaa mkimyaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…