Wadada wa Mjini na Tabia ya Kuongeza 000

Wadada wa Mjini na Tabia ya Kuongeza 000

uzuri nikiwa mwaka wa kwanza chuo ndio nilipigwa hivyo tena na demu niliyemuamin sana... nikajifunza

alafu sasa mungu alivyonipenda nina rafiki TRA nina rafiki TPA ukija kwenye garage ndio usiseme

-ukisema umeanzisha biashara unataka kodi nakuunganisha na rafiki angu wa TRA tena akufanyie hadi mafekechee kwenye makadilio kama ni uongo inakuwa imekula kwako

-eti oooh gari imekwama bandarini daaaah tena hapo ndio nna mdau wangu roommate wa zaman kabisa nakwambia chukua hii namba umpigie huyu jamaa mwambie nimekutuma


-eti oooh gari imeharibika hapo sasa nna watu wengi kwanzia safari auto.. 0-60...mr jerry na wengineo

siliwi hela kijinga mm 😂😂😂
 
uzuri nikiwa mwaka wa kwanza chuo ndio nilipigwa hivyo tena na demu niliyemuamin sana... nikajifunza

alafu sasa mungu alivyonipenda nina rafiki TRA nina rafiki TPA ukija kwenye garage ndio usiseme

-ukisema umeanzisha biashara unataka kodi nakuunganisha na rafiki angu wa TRA tena akufanyie hadi mafekechee kwenye makadilio kama ni uongo inakuwa imekula kwako

-eti oooh gari imekwama bandarini daaaah tena hapo ndio nna mdau wangu roommate wa zaman kabisa nakwambia chukua hii namba umpigie huyu jamaa mwambie nimekutuma


-eti oooh gari imeharibika hapo sasa nna watu wengi kwanzia safari auto.. 0-60...mr jerry na wengineo

siliwi hela kijinga mm [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaahahaaa. Basi unafaa pia
 
Kuna watu wanajua kugharamia haswaaa. Kama huyo shemeji yangu alikua kutumia million kwa siku wakionana na beb wake wala sio shida. Kwanza makutano yao ni hotelin. Wakiachana na babe anampa kuanzia million moja. Siku akimpa laki 5 shoga atalalamika hatari mapenzi yamepungua anapewa kidogo. Bado anampa hela ya matumizi ya home laki 5 kila mwezi. Sema hizi ni kutokana na story zake so inawezekana alikua anaongeza 000 maana ni

Unaweza kuta huyo mwanaume wazazi wake wanahangaika huko kijijini hata kula ni shida lkn yeye yuko busy kuhonga tu wanawake,,,!kazi kwelikweli.
 
uzuri nikiwa mwaka wa kwanza chuo ndio nilipigwa hivyo tena na demu niliyemuamin sana... nikajifunza

alafu sasa mungu alivyonipenda nina rafiki TRA nina rafiki TPA ukija kwenye garage ndio usiseme

-ukisema umeanzisha biashara unataka kodi nakuunganisha na rafiki angu wa TRA tena akufanyie hadi mafekechee kwenye makadilio kama ni uongo inakuwa imekula kwako

-eti oooh gari imekwama bandarini daaaah tena hapo ndio nna mdau wangu roommate wa zaman kabisa nakwambia chukua hii namba umpigie huyu jamaa mwambie nimekutuma


-eti oooh gari imeharibika hapo sasa nna watu wengi kwanzia safari auto.. 0-60...mr jerry na wengineo

siliwi hela kijinga mm [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndege mjanjaa!![emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kuna watu wanajua kugharamia haswaaa. Kama huyo shemeji yangu alikua kutumia million kwa siku wakionana na beb wake wala sio shida. Kwanza makutano yao ni hotelin. Wakiachana na babe anampa kuanzia million moja. Siku akimpa laki 5 shoga atalalamika hatari mapenzi yamepungua anapewa kidogo. Bado anampa hela ya matumizi ya home laki 5 kila mwezi. Sema hizi ni kutokana na story zake so inawezekana alikua anaongeza 000 maana ni bingwa
Haha,kaongeza 000 huyo,kwa typical mwajiriwa wa bongo kutoa mamilioni sio rahisi,labda mfanyabiashara
 
Wakomaaji tu hao. Ukiona unaweza kumpa.millioni zaidi ya moja mwanamke ambaye hujamuoa ujue na wewe akili yako hewa tu.
Kama unampenda mdada na unajua ana akili ya maisha si umuoe alafu uone hivyo vitu akiwa kwako
Kwa utafati wangu mdogo, wanawake wenye akili nyingi huwa na tabia zifuatazo
1. Wako simple. Wako simple sababu wanajiamini na kichwani mwao mmejaa madini so hawana insecurity
2. Hawana make up nyingi. Hawa wengi utakuta wako busy na mambo ya msingi kama shule na hata biashara zao. Sio rahisi atumie masaa matatu saloon
3. Amejitosheleza. Hapa hasa waliotoka familia bora. Hawahitaji kuthibitisha wana hela maana wamezaliwa kwenye hela na wanachotaka kwa mwanaume sio pesa bali upendo. Hawana haja ya kujionyesha wao matawi ya juu. Wewe tu ukiwa karibu naye utajua. Sasa pata wale wa Tandale na Mbagala. Akishika kasimu kama millioni anataka kila mtu aone
4. Huwa ni nadra sana kukuomba pesa. Nasema tena ogopa mwanamke akuombaye pesa. Swala la kumuomba pesa mwanaume linamaanisha yafuatayo
A. Huyo ni mvivu hana kipato wala hakuna kuliingizia kipato
B. Hana maadili. Mtoto alifunzwa hawezi kumuomba pesa sababu umemtakia unampenda
C. Kwao ni hoi bin taabani ndio maana anaomba omba maana wazazi wake hawana uwezo wa kumpa mahitaji ya kutosha
D. Hana maadili ya kifamilia na kidini

Ogopa wanawake wa kujirusha hao waache wafanye kazi ya kuridhisha wengi. Mke hana tabia za hovyo kama hizo

Hii tabia ya kina sisi kuongeza 000 kwenye gharama ya kitu naona imekua fasheni sasa hivi. Mtu kanunua kibanio elfu 10 atakwambia kanunua laki. Kuna mafuta nilimkuta nayo rafiki yangu nikayapenda nikamuuliza umenunua shilingi ngapi akaniambia kanunua 120,000 nikabaki kutoa macho maana hiyo hela sina. Siku Nikapita Kkoo nikakuta same same mafuta yanauzwa 7000 nikajua hapo alitaka kuniringishia anapaka mafuta ya gharama.

Mwingine alinunua gauni 8000 akaulizwa akasema kanunua Mwenge 50000 wakati alikua saluni ikapitishwa 8000 tu akanunua.

Na hii tabia nyingine ya kujiwekea asset mdomoni ili mtu aonekane matawi. Mimi kama sina nasema sina wala sivungi na sioni aibu. Sasa rafiki yangu mmoja kuna siku akawa ananilecture eti nikikutana na mwanaume mwenye hela ili kumlia hela zake nimdangamye nina miradi anisaidie hela.
Kwa mfano akasema nimwambie nina kiwanja bagamoyo anisaidie kujenga nikamwambia mi siwezi uongo ntadakwa tu maana nitajisahau siku.

Kina kaka hawa slay queens wengi mnaowana hata pa kuishi hawanaga wanakaa kwa mashoga ila ukimuona anavyoringa sababu anataka umuone wa gharama umpe pesa nyingi.

Wanaazimaga magari waje nayo kwenye outing ili ukimuona umpe pesa ya mafuta sio nauli ya uber au bajaj.

Kuna kesi niliisikiliza mwanamke alimdanganya mwanaume ana mashamba ya mpunga na amefungua machine ya kusaga na kukoboa kwahiyo amsaidie kiasi kidogo aongeze kununua machine. Yule kaka alimpa 10M baby wake zimsogeze kwenye biashara. Akaja akamwambia gari yake imekwama amsaidie hela aongezee atoe gari kaka akatoa akijua gf wake ana akili ya maisha pale anamsaidia kwa ajili yao. Kumbe alikua hajui zile hela akizitoa wenzie tunaenda zetu brunch Hyatt kuzitumbua pesa za shemeji.

Ila alikua anavyomuona kwanza anajulikana. Anavaa vizuri utasema nani sijui. Nywele za gharama tupu. Duka analoenda ni JM Virgo. Anaishi maisha ya juu kuliko hata uhalisia wake. Ila wanaume wakiona wanapapatika wanampa hela maana wanapigwa fix dada ni self made millionaire wanaingia king kumbe wakitoa anaenda kuvaa apendeze apatikane mwingine ahudumie.

Siku hizi kila mwanamke unaekutana nae atakwambia mwanafunzi mara mfanyabiashara ili tu akuvuteni maana nyie si ndo mnajitia mnapenda hayo kaka zangu kumbe mtu hasomi wala nini anauza k mjini aishi.

NA KINA SISI TUACHE KUONGEZA NAMBA MTU AKITAKA KUKUPA ATAKUPA TU.
Hii tabia ya kina sisi kuongeza 000 kwenye gharama ya kitu naona imekua fasheni sasa hivi. Mtu kanunua kibanio elfu 10 atakwambia kanunua laki. Kuna mafuta nilimkuta nayo rafiki yangu nikayapenda nikamuuliza umenunua shilingi ngapi akaniambia kanunua 120,000 nikabaki kutoa macho maana hiyo hela sina. Siku Nikapita Kkoo nikakuta same same mafuta yanauzwa 7000 nikajua hapo alitaka kuniringishia anapaka mafuta ya gharama.

Mwingine alinunua gauni 8000 akaulizwa akasema kanunua Mwenge 50000 wakati alikua saluni ikapitishwa 8000 tu akanunua.

Na hii tabia nyingine ya kujiwekea asset mdomoni ili mtu aonekane matawi. Mimi kama sina nasema sina wala sivungi na sioni aibu. Sasa rafiki yangu mmoja kuna siku akawa ananilecture eti nikikutana na mwanaume mwenye hela ili kumlia hela zake nimdangamye nina miradi anisaidie hela.
Kwa mfano akasema nimwambie nina kiwanja bagamoyo anisaidie kujenga nikamwambia mi siwezi uongo ntadakwa tu maana nitajisahau siku.

Kina kaka hawa slay queens wengi mnaowana hata pa kuishi hawanaga wanakaa kwa mashoga ila ukimuona anavyoringa sababu anataka umuone wa gharama umpe pesa nyingi.

Wanaazimaga magari waje nayo kwenye outing ili ukimuona umpe pesa ya mafuta sio nauli ya uber au bajaj.

Kuna kesi niliisikiliza mwanamke alimdanganya mwanaume ana mashamba ya mpunga na amefungua machine ya kusaga na kukoboa kwahiyo amsaidie kiasi kidogo aongeze kununua machine. Yule kaka alimpa 10M baby wake zimsogeze kwenye biashara. Akaja akamwambia gari yake imekwama amsaidie hela aongezee atoe gari kaka akatoa akijua gf wake ana akili ya maisha pale anamsaidia kwa ajili yao. Kumbe alikua hajui zile hela akizitoa wenzie tunaenda zetu brunch Hyatt kuzitumbua pesa za shemeji.

Ila alikua anavyomuona kwanza anajulikana. Anavaa vizuri utasema nani sijui. Nywele za gharama tupu. Duka analoenda ni JM Virgo. Anaishi maisha ya juu kuliko hata uhalisia wake. Ila wanaume wakiona wanapapatika wanampa hela maana wanapigwa fix dada ni self made millionaire wanaingia king kumbe wakitoa anaenda kuvaa apendeze apatikane mwingine ahudumie.

Siku hizi kila mwanamke unaekutana nae atakwambia mwanafunzi mara mfanyabiashara ili tu akuvuteni maana nyie si ndo mnajitia mnapenda hayo kaka zangu kumbe mtu hasomi wala nini anauza k mjini aishi.

NA KINA SISI TUACHE KUONGEZA NAMBA MTU AKITAKA KUKUPA ATAKUPA TU.
 
Mbona hayo ni mambo ya kawaida sana kwa wanaume Mzigua90 .
Almost wanaume wengi sana tunaingizwa town ingawa kiasi kinatofautiana kutokana na uwezo wa mtu .

Lakini asikuambie mtu hata mwanaume ambaye hana kitu ana namna yake tuu ya kugharamika ili tuu aweze kupata papuchii.
 
Back
Top Bottom