Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,866
- 2,996
Basi mna roho ngumu zaidi ya chochote [emoji23][emoji23][emoji23]Mi mwanamke napigwaje sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mna roho ngumu zaidi ya chochote [emoji23][emoji23][emoji23]Mi mwanamke napigwaje sasa?
Basi inawezekanaAlikuaga director of finance wa kampuni fulani
Niambie mamaa ila nini ? ni kukomoana ?Sio roho ngumu
kweli umenifundisha kitu.....!!!Sisi tunapenda kupewa. Mtu anakukomoa kwani anakuibia? Unatoa mwenyewe baada ya kudanganywa.
Unaweza kukuta kaenda kukopa.Wanawake wengi wa Tanzania wameamua rasmi kutumia kiungo chao cha uzazi kupiga pesa,,..hivi huyo jamaa aliyetoa 10m anajielewa kweli??,,au labda na yeye ni millionea!!
Ndio maana nikienda Tanga natembea nimeinamisha kichwa ili nisijikwae [emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tunapenda kupewa. Mtu anakukomoa kwani anakuibia? Unatoa mwenyewe baada ya kudanganywa.
Kama wigi tu milioni mbili na nusu, papuchi je ? Nawaza kwa mbaaali....Gigi money amesema wigi lake ni million 2 na nusu
Na ofa wanatoa [emoji851]Unaweza kukuta kaenda kukopa.
Mi ndo maana sichezagi mbali na makaunta wa bar. Hawanaga shobo kabisa
Kuna mmoja alishawahi kuniambia wasiopendwa ndio wanapigwa mzinga mrefu,na ukichanganya unapigwa kwelikweli!mm nimpendaye na anayeonesha kujali ata M kadhaa natoa tuSisi tunapenda kupewa. Mtu anakukomoa kwani anakuibia? Unatoa mwenyewe baada ya kudanganywa.
Inachangia na figure siwezi kumpa fidodido mpunga wote huo [emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahahaaaa.. sema wanaume wa Dar nao sio wachoyo