masai dada njoo huku uthibitishe kauli kuwa hii biashara ndo inakuweka mjini!zile hata mmasai anauza ila za soka lazima apungeze mapenzi la sivyo oohooooo
Shishy Baby atazuga anaenda kupiga shoo nyingine ka ile ilomfanya apigwe ban!Bora aende zake ubelgiji tu akale totoz zenye k mileage ndogo hawa wa kwetu mileage zinasoma 150,000 halafu wanasema eti nyapu haichuji hivyo wanazivua
te te te te biriani kwani leo sikukuu!!haya ngoja niwasubiri hao!Mhhhhh hebu usiniharibie siku nisije shindwa kula biriani langu bure.
Ila sibiri wadau watakuwekea....
Evelyn Salt Madame B muwekeeni huyu kiumbe picha ya Imelda.
Clouds hovyo kabisa!Na ile radio inayopenda sifa wanasemayani kuna party sijui escape one sijui madudu gani... yaani giza giza tu
Kila siku ya L Jumaa kwangu ni sikukuu mkuu,Biriani lazima liliwe.te te te te biriani kwani leo sikukuu!!haya ngoja niwasubiri hao!
nina hamu nalo hilo!fanya umtume bodaboda aniletee kijiweni...Kila siku ya L Jumaa kwangu ni sikukuu mkuu,Biriani lazima liliwe.
Poa
haha hamasai dada njoo huku uthibitishe kauli kuwa hii biashara ndo inakuweka mjini!
Wale wanaitwa nilipe nisepe pesa zikiisha ndukiiMbona mnamsahau Masogange? Iv Hamisa Mabetto naye simnyakuaji? Wadada maarufu mbona huwa hawaolew na wakiolewa ndoa hazdumu why?
Hongera kwa kuchangia postMnawakosea adabu madada wa watu jamani wao wameshow luv kumpongeza kama mtanzania mwenzao ila nyie naona mmewaelewa vibaya na sio fresh kuwataja majina huo ni utovu wa adabu hata kama wana tabia mbaya humu jf kuna wengine ni wachafu kuliko wao sema wao wanaponzwa tu na umaarufu,waacheni bwana wampongeze mtanzania mwenzao cc C.T.U Evelyn Salt SOLDIER GENIUS Madame B nifah msemakweli2 kabunda88 waacheni na samata wao
Anaitwa Imelda mtema ni mwandishi wa habari wa global publisher. Huyu anajifanyaga ana urafiki na mastaa wa bongo movie lakini kumbe akigeuka nyuma anaenda kuwaandika vibaya kwenye magazeti ya boss wake shigongo. Duh wema ana bahati mbaya kila mtu anamgeuka, huyu Imelda alikuwa rafiki mkubwa wa wema sepetu hadi kule arusha kwenye show ya mirror walienda nae na wakalala chumba kimoja , walivyorudi bongo kaenda kuwaandika kwenye magazet ya shigongo kuwa walienda arusha kujiuza, juzi tena alimripoti wema sepetu kuwa anafanya mchezo mchafu na aunty Ezekiel, kama haitoshi tena wiki iliyopita kamwandika baby wake sepetu ndomo kuwa anataka kuwa shoga kitendo kilichomtibua mlimbwende huyo na kwenda kufanya timbwil global publisher. Wema alimfuata hadi ofisini huyu bidada na kutaka kumuangushia kipigo heavy.