Mkuu wale wana vituko sana kama wolper naye nasikia alitoka nduki alipoona vidonge vya ARV kwa mshikaji fulani ndukii hajadai hata nauli kudadekiKuna Moja niliisikia ya mmoja wapo aliiba laptop kempisky
Bora aende zake ubelgiji tu akale totoz zenye k mileage ndogo hawa wa kwetu mileage zinasoma 150,000 halafu wanasema eti nyapu haichuji hivyo wanazivua
ahaa historia ya mbwana hakuna mtanzania mwingne atavunja rekod
Wadada wa mjini headline ingine ishakuja.
Ila C.T.U mjini ukiwa na pesa, unatia kila mtu.
Ngoja nisubiri nani atawahi, Masimba au Sepetu maana hawa nao hawajambo.
Masimba nae kujilipia kote mahari kwa Kiumbe....kaangukia pua.
Wake 4 si mchezo
Na idrisa sio mwenzetuHivi yule mtoto wa insta anayekuwa na Wema na Idriss ni wa nani?
Maana nimesikia eti wa Wema kazaa na Idriss?
Wema si nimeambiwa tasa na mgumba juu?
haha huyu huwa hapitwianaingia leo saa tano usiku,ngoja nikodoe macho lazma wema atakuwa Airport anatupa ndoano.
....kupenda viherehere vyaoHuyu ndo Imelda Mmmmmh kweli kazi ya moyo ni kusukuma damu
Chezea wanawake wa mjini weye?Kazaa naye ndotoni?
Hivi Munana alifia wapi?
Idriss ana roho ngumuuu
Demu wako analiwa denda kisa kuuza gazeti unauchuna tuuuu.
Ha ha ha hivi munana alibadilishwa na dini eeh?Chezea wanawake wa mjini weye?
Kwisha habari yake.....mamamaeeee
Na lile panki lake kama kishungi cha jogoo
NapitaHili jambo hata mimi nililiwaza asubuhi katika pitapita zangu Instagram.
Samatta awe makini sana,nina wasiwasi na Lulu....sijui anajipangaje kumnyakua kaka wa watu.
Wema naona keshatupia Hug,kisses and xoxo....
Pia tusimsahau Diva jamani,na kile kipindi chake atajidai anamuita kumhoji.
Maana historia inaonesha 90% ya mabwana zake kawapatia pale.... Prezoo,Zitto n.k
Sasa sijui hicho ni kipindi au date site!
Mh shigongo sasa baba hapa nadhani ulitazama wakati upo gizani hata wapiga nyeto hii haiwafai kabisa